Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

Acheni uzembe fanyeni kazi,mi sipendi mijitu inayopenda kupiga mzinga,hivi fikiria kila mtu akimpiga mzinga mbunge atabaki.na shilingi ngapi? Kusoma naye sio tatizo alikuchunia au ulimchunia? We ulichuna halafu ulitegemea ajipendekeze?
chadema mnafurahisha kwa kweli waksti mwingn jifunzeni kuukubli ukweli hsta kama unauma
 
ila lowassa ndio mna haki ya kuhoji pesa zake
mkuu mi pesa za lowasa nihoji za nini?nikijua alipozitoa itanisaidia nini hata kama kaiba?mmeshindwa kumfukuza huko ccm,mie nachofanya na jamii yangu hatuichagui magamba maana mmelaaniwa duniani na mbinguni.
 
swali je hizo pesa kazipata wapi kwa mbunge Wa juzi juzi mchanga namna hii.

Kama watia nia tu wanarusha Chopa kwenye majimbo yao, itakuwaje kwa Mbunge wa toka April, 2012. Mpumbavu akikaa kimya huonekana ana hekima. You arejust exposing how ignorant you are!
 
Mleta uzi naona hujashirikisha akili yako vizuri. Tangu lini umeanza kumpangia mtu namna ya kutumis fedha zake binafsi? Mmeshindwa kuwawajibisha wezi walioiba mchana kweupe badala yake unatuletea tongotongo zako hapa!..ccm mna laana kubwa sana

Angekuwa ZITTO ndio amefanya hayo povu lingekuwa ndoo nzima ya maji
 
hahahahaha Mkuu kombajr, Nina ya madharau ya kimarangu.

Tunakushukuru kwa taarifa Bw. Augustino Mushi (mmaranguorigino) .Kwa kifupi washiriki wa jukwaa hili wanakufahamu kwa jina na anayekutumaga kumuandama Nassari hapa. Mwambie tumemsikia kupitia wewe. Sasa nenda an wewe ukapewe Gari Kama wenzako kisikio (paul mafie) na Elipokea Urio.
 
Tunakushukuru kwa taarifa Bw. Augustino Mushi (mmaranguorigino) .Kwa kifupi washiriki wa jukwaa hili wanakufahamu kwa jina na anayekutumaga kumuandama Nassari hapa. Mwambie tumemsikia kupitia wewe. Sasa nenda an wewe ukapewe Gari Kama wenzako kisikio (paul mafie) na Elipokea Urio.

😕😕hawa kina mushi hawa sio wa MARANGU hawa ni wa MACHAME...marangu kuna kina moshi.
 
Yaan nikiona mada kama hii nahisi mtoa mada ni mlevi najuta kuandika hata hiki unachosoma pu......mbaf....
 
Mkuu kombajr, mradi ule bado tunaushughulikia kwasasa makamu Mwenyekiti Wa council ya Meru anaitwa Frida Kaaya anatokea eneo hilo.

ni Diwani wa kuteuliwa eneo hilo na ndiye anayeongoza harakati za kukwamisha miradi yote ili Nasary aonekane hakufanya kitu! Kwa kifupi Mkuu hizo harakati za madiwani wenu zinawalostisha sana wananchi ila wananchi wameshagundua janja yao watawanjoosha October kama ilivyokuwa serikali za mitaa.

Mkuu najua sasa hivi Network haishiki ni Hatakatwa? au Hakatwi? hahahhhhhha!

Mmaranguoriginal Mbona sijaona ukitoa Pole Kwa Josh? siasa siyo uadui Mkuu!
 
Back
Top Bottom