Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

Mimi bwana nilisoma nae lkn cha ajabu nilikutana nae pale Nmg anaenda Nrb jamaa akala ganzi akajifanya hanijui kabisa watu wakawa wanamfata pale Imagration ya kny wanamgongea akawaambia "sisi wabunge wa upinzani tumekataa posho bungeni fateni wabunge wa ccm wanaochukua posho."!!.
 
Mimi bwana nilisoma nae lkn cha ajabu nilikutana nae pale Nmg anaenda Nrb jamaa akala ganzi akajifanya hanijui kabisa watu wakawa wanamfata pale Imagration ya kny wanamgongea akawaambia "sisi wabunge wa upinzani tumekataa posho bungeni fateni wabunge wa ccm wanaochukua posho."!!.

Acheni uzembe fanyeni kazi,mi sipendi mijitu inayopenda kupiga mzinga,hivi fikiria kila mtu akimpiga mzinga mbunge atabaki.na shilingi ngapi? Kusoma naye sio tatizo alikuchunia au ulimchunia? We ulichuna halafu ulitegemea ajipendekeze?
 
Mimi siyo mganga njaa ndugu kidogo Mungu kanionekania but mtu kukausha haipendezi mpe Hae lkn nilikuwa napita tuuu,
 
Mimi bwana nilisoma nae lkn cha ajabu nilikutana nae pale Nmg anaenda Nrb jamaa akala ganzi akajifanya hanijui kabisa watu wakawa wanamfata pale Imagration ya kny wanamgongea akawaambia "sisi wabunge wa upinzani tumekataa posho bungeni fateni wabunge wa ccm wanaochukua posho."!!.

Joshua ana madharau ya kimeru tangu awe mbunge.
 
Mkuu mpe Hae dogo janja nilipita tu,tufunge huo mjadala kama ule wa Sugu na Faiza ulivyofungwa mjengoni.
 
Mbona tunakutanaga na Ole sendeka tunapiga nae stori hana shida na wtz anaokutana nao Nrb?mtu watu bana...
 
Hivi unadhani watanzania ni masikini sana wapo wanao jiweza piga kazi hela hipo nawe ukodi jet yako ukale bata kokote duniani
 
Back
Top Bottom