chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,195
Mtoa mada mbona povu linakutoka? Tulia dawa ikuingie
Kijana unapenda kuonekana?
Kulima nyanya meru ndo unatishia watu hapa ulikuwa kikazi...Kijana nina mradi wa Kilimo hapo wilayani Meru.
stupidity dwells in youWajinga wajinga kwa maana ya wewe unayeongea na mjinga mjinga au kwa maana ipi?. Mnavinyima nafasi ya kukua vyama vyenu mnavyovipenda kwa sababu ya hii stupid superiority complex ambayo inaishi ndani ya vichwa vyenu.
Sadly enough your mind reflects those fellows that are easily blinded by cheap politicians. Wapuuzi kama wewe ndio wanaoifanya Africa iongozwe na watu wenye akili za panzi.stupidity dwells in you
precisely ...Nchi yako iko Afrika.....na unawajua wanaoongoza...akili zao umezitaja hapo .....Mpaka hapo haujajiona ulivyo na akili ndogo sana mfano wa punje ya haradali....Sadly enough your mind reflects those fellows that are easily blinded by cheap politicians. Wapuuzi kama wewe ndio wanaoifanya Africa iongozwe na watu wenye akili za panzi.
We mwenzangu unaishi bara gani?. Akili zangu ni nyingi kuliko wewe unayeshabikia ujinga kila kukicha.precisely ...Nchi yako iko Afrika.....na unawajua wanaoongoza...akili zao umezitaja hapo .....Mpaka hapo haujajiona ulivyo na akili ndogo sana mfano wa punje ya haradali....
Ni hivi hilo eneo lilimilikiwa na watu binafsi,ila halmashauri ikawapa eneo mbadala ili kuwafidia...sasa jamaa kabla ya kubomoa Nasary kafanya mchongo ili kuhadaa ionekane kakomboa eneo kupata kiki.
We mwenzangu unaishi bara gani?. Akili zangu ni nyingi kuliko wewe unayeshabikia ujinga kila kukicha.
Mungu akubariki mkuu, siku njema.Ooooohhh.....Nyingi kuliko za viongozi wako wa Afrika uliosema wana akili za Panzi? Bara nilipo haikuhusu