Joshua Nassari wacha hadaa kwenye media

Joshua Nassari wacha hadaa kwenye media

Mkuu, jinsi ambavyo unavyoziona sekta nyingine zikianzishiwa mamlaka ili ufanisi wa kazi uweze kufuatiliwa, ndivyoi ambavyo sekta ya habari inavyohitaji kuundiwa mamlaka itakayosimamia uwepo wa viwango vya habari za nchi hii. SUMATRA, EWURA na wengine kama hizo taasisi, pia habari zinahitaji kuwa na mamlaka makini, zitakazoondoa ukanjanja wote unaoshusha viwango vya habari.

Mkuu, mwanasiasa ambaye uhai wa uanasiasa wake hutegemea ridhaa ya wananchi siku zote hutafuta nafasi ya kuuza sura. Kwa wasiofikiria mambo kwa undani tayari mbunge huyo keshajipatia maujiko.
Tunahitaji udhibiti wa hali ya juu.
 
Mkuu, jinsi ambavyo unavyoziona sekta nyingine zikianzishiwa mamlaka ili ufanisi wa kazi uweze kufuatiliwa, ndivyoi ambavyo sekta ya habari inavyohitaji kuundiwa mamlaka itakayosimamia uwepo wa viwango vya habari za nchi hii. SUMATRA, EWURA na wengine kama hizo taasisi, pia habari zinahitaji kuwa na mamlaka makini, zitakazoondoa ukanjanja wote unaoshusha viwango vya habari.

Mkuu, mwanasiasa ambaye uhai wa uanasiasa wake hutegemea ridhaa ya wananchi siku zote hutafuta nafasi ya kuuza sura. Kwa wasiofikiria mambo kwa undani tayari mbunge huyo keshajipatia maujiko.
Tunahitaji udhibiti wa hali ya juu.
 
Haaaa, huyu dogo ni msanii hataree....! Stay tuned ....

Hii ni series na ndo kwanza episodi ya 1 inaanza...
Dah..siasa zimekuwa ngumu imebidi kumlipa mwenye mabati ili afanye maigizo.
 
Kwa hiyo unasema kuwa huyo mbunge alikuwa kwenye pilika za kutafuta kick?. ITV waliniboa siku chache zilizopita. Waliiweka habari ya waandishi wao kutwaa tuzo kuwa ni ya kwanza halafu habari sensitive ya ajali iliyochukua maisha ya watu wanne huko nyanda za juu kusini, ikawa ya pili katika habari za kitaifa!.



Una chuki zako tuuu jamaaa sasa hata wangeanzal Kuonesha kingepungua au kuongezeka nini??
 
Haaaa, huyu dogo ni msanii hataree....! Stay tuned ....

Hii ni series na ndo kwanza episodi ya 1 inaanza...
Wapi makonda!!kawanyoosha arumeru mmebaki[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]
Habari ya wakati huu!

Nimecheka sana leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku niliposhuhudia Mbunge wa Arumeru Mashariki akiwaongoza madiwani wa meru kubomowa eneo eti kwa hadaa kuwa kuna mwekezaji kavamia.

Naweka kumbukumbu sawa hao wenye eneo walikuwa ni wamiliki halali ila halmashauri ya meru imewapa fidia ya eneo mbadala eneo la madira....Nassary alifanya mpango mabati yasiondolewe ili kuhadaa wananchi kuwa ametetea ardhi ya wananchi.

Tulichoshangaa leo ITV hawajamhoji aliyekuwa mwenye eneo,huu ni upungufu mkubwa...nilikuwa hapo Meru kikazi nimeondoka jana.

Nassary rudi bungeni ukajenge hoja na sio kukodi genge la vijana ambalo hata halikuwa na hamasa....yaani madiwani mnatoka mkutanoni kubomoa?...aibu!

Mbowe warudishe wabunge wako katika mstari la sivyo watachokwa.

Tuache hadaa!

Ha ha, kidonge kimeingia kwenye damu, wadudu wote wa ugonjwa wako njiani kufa.
 
Uwepo wa wabunge wa chadema kama nasari kwake ni kero!Kwa hiyo anatumia uhuru wake wa kutoa maoni kueneza chuki zake dhidi yao.
kumbe unaishi kwa chuki.Usipende kudanganywa hata ikiwa unampenda mtu.Usiiache akili yako kushikiwa na mtu.
 
Mkuu ingekaa poa sana kama ungeweka viambatanishi kwamba eneo lilishanunuliwa na serikali na ni lini
 
Mkuu ingekaa poa sana kama ungeweka viambatanishi kwamba eneo lilishanunuliwa na serikali na ni lini
Ni hivi hilo eneo lilimilikiwa na watu binafsi,ila halmashauri ikawapa eneo mbadala ili kuwafidia...sasa jamaa kabla ya kubomoa Nasary kafanya mchongo ili kuhadaa ionekane kakomboa eneo kupata kiki.
 
Kumbe mnatazama ITV, fuatilia TBC mkuu na Star tv maana hawaudhi wanaonyesha mazuri ya Magufuli tu
 
Ni hivi hilo eneo lilimilikiwa na watu binafsi,ila halmashauri ikawapa eneo mbadala ili kuwafidia...sasa jamaa kabla ya kubomoa Nasary kafanya mchongo ili kuhadaa ionekane kakomboa eneo kupata kiki.
Hapana mda mwingi lakn tangu pajengewe mabati, ss kama palikuwa pameuzwa wakapajengea ili nn, pia sion kama pameendelezwa kwa lolote zaid kwahyo unaweza ukawa sawa pia
 
Hapana mda mwingi lakn tangu pajengewe mabati, ss kama palikuwa pameuzwa wakapajengea ili nn, pia sion kama pameendelezwa kwa lolote zaid kwahyo unaweza ukawa sawa pia
Kama kumsukuma mlevi vile?....haya bwana.
 
Swali la kizush; umeshaona jipu likihojiwa baada ya kutumbuliwa? Nadhan tuwe fare hapa... Nauliza tu...
 
Huyu dogo ni mchapakazi,uliza wananchi watakueleza!Amewatendea mengi arumeru,naamini yeye na baraza la madiwani ndio wamefanikisha kuirudisha ardhi hiyo kuwa milki ya halmashauri!Sioni ubaya kwa yeye kushiriki kuondoa mabati!
Akifanya Magu sawa,wakifanya wengine kick!Tuache ukanjanja,tumbo huwa haliridhiki!
By the way,shift yako inaisha saa ngapi?
 
Back
Top Bottom