Joshua Nassari wacha hadaa kwenye media

Joshua Nassari wacha hadaa kwenye media

Nionavyo mimi, wabunge wa upinzani wana mchango zaidi kwenye majimbo yao kuliko mjengoni. Na hata baadhi ya wabunge wa CCM wameliona hili. Majuzi Ridhwan aliamua kubaki jimboni kuhakikisha mambo yanawekwa sawa baada ya moto kuunguza shule. Nawapongeza hawa wabunge wawili na Yule wa Kilombero kwa kutambua kwamba michango yao haithaminiki bungeni, na kuamua kuwatumikia wananchi moja kwa moja.
 
Habari ya wakati huu!

Nimecheka sana leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku niliposhuhudia Mbunge wa Arumeru Mashariki akiwaongoza madiwani wa meru kubomowa eneo eti kwa hadaa kuwa kuna mwekezaji kavamia.

Naweka kumbukumbu sawa hao wenye eneo walikuwa ni wamiliki halali ila halmashauri ya meru imewapa fidia ya eneo mbadala eneo la madira....Nassary alifanya mpango mabati yasiondolewe ili kuhadaa wananchi kuwa ametetea ardhi ya wananchi.

Tulichoshangaa leo ITV hawajamhoji aliyekuwa mwenye eneo,huu ni upungufu mkubwa...nilikuwa hapo Meru kikazi nimeondoka jana.

Nassary rudi bungeni ukajenge hoja na sio kukodi genge la vijana ambalo hata halikuwa na hamasa....yaani madiwani mnatoka mkutanoni kubomoa?...aibu!


Mbowe warudishe wabunge wako katika mstari la sivyo watachokwa.

Tuache hadaa!

Joshua hana hadaa hata kidogo mtoto wa watu. Hata yale yanayohodhiwa na muanzilishi wa chama kule alitaka kuyafanyia ila wakamzuia, amesuka mkakati mwingine. Kuna jamaa aliyewekwa ardhi anayetoa hati kule Meru ndiye anayemuangusha
 
Habari ya wakati huu!

Nimecheka sana leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku niliposhuhudia Mbunge wa Arumeru Mashariki akiwaongoza madiwani wa meru kubomowa eneo eti kwa hadaa kuwa kuna mwekezaji kavamia.

Naweka kumbukumbu sawa hao wenye eneo walikuwa ni wamiliki halali ila halmashauri ya meru imewapa fidia ya eneo mbadala eneo la madira....Nassary alifanya mpango mabati yasiondolewe ili kuhadaa wananchi kuwa ametetea ardhi ya wananchi.

Tulichoshangaa leo ITV hawajamhoji aliyekuwa mwenye eneo,huu ni upungufu mkubwa...nilikuwa hapo Meru kikazi nimeondoka jana.

Nassary rudi bungeni ukajenge hoja na sio kukodi genge la vijana ambalo hata halikuwa na hamasa....yaani madiwani mnatoka mkutanoni kubomoa?...aibu!

Mbowe warudishe wabunge wako katika mstari la sivyo watachokwa.

Tuache hadaa!
Naona dalali...wa Ardhi ya meru unalialia....Sis wana meru tunajua maswala yetu...na bado tuna Ardhi kubwa ,tunataka irud ......Joshua Nassary ni jembe....
 
Habari ya wakati huu!

Nimecheka sana leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku niliposhuhudia Mbunge wa Arumeru Mashariki akiwaongoza madiwani wa meru kubomowa eneo eti kwa hadaa kuwa kuna mwekezaji kavamia.

Naweka kumbukumbu sawa hao wenye eneo walikuwa ni wamiliki halali ila halmashauri ya meru imewapa fidia ya eneo mbadala eneo la madira....Nassary alifanya mpango mabati yasiondolewe ili kuhadaa wananchi kuwa ametetea ardhi ya wananchi.

Tulichoshangaa leo ITV hawajamhoji aliyekuwa mwenye eneo,huu ni upungufu mkubwa...nilikuwa hapo Meru kikazi nimeondoka jana.

Nassary rudi bungeni ukajenge hoja na sio kukodi genge la vijana ambalo hata halikuwa na hamasa....yaani madiwani mnatoka mkutanoni kubomoa?...aibu!

Mbowe warudishe wabunge wako katika mstari la sivyo watachokwa.

Tuache hadaa!
tukuaminije kuwa unachosema ni kweli supporting documents?
 
Joshua hana hadaa hata kidogo mtoto wa watu. Hata yale yanayohodhiwa na muanzilishi wa chama kule alitaka kuyafanyia ila wakamzuia, amesuka mkakati mwingine. Kuna jamaa aliyewekwa ardhi anayetoa hati kule Meru ndiye anayemuangusha
Mkuu huyu hajui udhalimu wa hapa meru....ardhi ni ndogo sanaaa......kuna wawekezaji wengi wameuziwa ardhi wakati wananchi hawana ardhi......na sio wameuziwa kihalali ,na wanalindwa na serekali.....mkuu wa wilaya aliyepita Husna pia ,analijua hili alikuwa dalali mzur sana......sasa wimbo ni mmoja meru ...tunataka ardhi yetu irud...sio et ardhi inamilikiwa na watu wa chache ...kina paul Neibala...
 
Joshua hana hadaa hata kidogo mtoto wa watu. Hata yale yanayohodhiwa na muanzilishi wa chama kule alitaka kuyafanyia ila wakamzuia, amesuka mkakati mwingine. Kuna jamaa aliyewekwa ardhi anayetoa hati kule Meru ndiye anayemuangusha

Haswaa Mzee Mtei naye ataifishiwe ardhi irudi kwa wananchi.
 
Mkuu huyu hajui udhalimu wa hapa meru....ardhi ni ndogo sanaaa......kuna wawekezaji wengi wameuziwa ardhi wakati wananchi hawana ardhi......na sio wameuziwa kihalali ,na wanalindwa na serekali.....mkuu wa wilaya aliyepita Husna pia ,analijua hili alikuwa dalali mzur sana......sasa wimbo ni mmoja meru ...tunataka ardhi yetu irud...sio et ardhi inamilikiwa na watu wa chache ...kina paul Neibala...
Na Edwin Mtei amulikwe.
 
Habari ya wakati huu!

Nimecheka sana leo kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku niliposhuhudia Mbunge wa Arumeru Mashariki akiwaongoza madiwani wa meru kubomowa eneo eti kwa hadaa kuwa kuna mwekezaji kavamia.

Naweka kumbukumbu sawa hao wenye eneo walikuwa ni wamiliki halali ila halmashauri ya meru imewapa fidia ya eneo mbadala eneo la madira....Nassary alifanya mpango mabati yasiondolewe ili kuhadaa wananchi kuwa ametetea ardhi ya wananchi.

Tulichoshangaa leo ITV hawajamhoji aliyekuwa mwenye eneo,huu ni upungufu mkubwa...nilikuwa hapo Meru kikazi nimeondoka jana.

Nassary rudi bungeni ukajenge hoja na sio kukodi genge la vijana ambalo hata halikuwa na hamasa....yaani madiwani mnatoka mkutanoni kubomoa?...aibu!

Mbowe warudishe wabunge wako katika mstari la sivyo watachokwa.

Tuache hadaa!

Acha wivu na chuki binafsi muache Nasar afanye kazi we endelea kukaa kijiweni hapo Lumumba .
 
Mkuu huyu hajui udhalimu wa hapa meru....ardhi ni ndogo sanaaa......kuna wawekezaji wengi wameuziwa ardhi wakati wananchi hawana ardhi......na sio wameuziwa kihalali ,na wanalindwa na serekali.....mkuu wa wilaya aliyepita Husna pia ,analijua hili alikuwa dalali mzur sana......sasa wimbo ni mmoja meru ...tunataka ardhi yetu irud...sio et ardhi inamilikiwa na watu wa chache ...kina paul Neibala...

Meru kuna shida kubwa sana, ukienda kule chini utalia. Matajiri wamemilikiardhi nzuri ya kufa mtu.Umiliki wao umekwisha wanaenda kwa yule bwana aliyewekwa eti kumuwakilisha rais kutoa hati anawapiga miaka 99 mingine wakati ile ya kwanza 99 ya kwanza ilitolewa kipindi cha ukoloni. Wazungu na matajiri wasiozidi 30 wana ardhi kubwa Meru kuliko wameru wote. Halafu nina wasiwasi ile shule opposite nakwa mzunguu kama itabaki lile ni eneo prime sana. Sijui nini kinashindikana wakati wafanyakazi wote wa ardhi hawapendi na wanailalamikia ile hali. Hivi umefika kule lake Duluti?
 
anzisha TV yako...au angalia TV yenu TBC
ITV ni kituo kikongwe cha runinga, kila mtu anayo haki ya kuwapa maoni, ambayo yanaweza in the long run kuwasaidia. Ndio maana kwenye mahoteli na maduka makubwa kunakuwa na boksi la maoni, wanaoyaweka hayo maboksi wanajua wanachofanya. Mimi ambaye nipo kilometa kadhaa kutoka pale kijitonyama zilipo ofisi za ITV, boksi langu la maoni ni humu, jamii forum.
 
ITV ni kituo kikongwe cha runinga, kila mtu anayo haki ya kuwapa maoni, ambayo yanaweza in the long run kuwasaidia. Ndio maana kwenye mahoteli na maduka makubwa kunakuwa na boksi la maoni, wanaoyaweka hayo maboksi wanajua wanachofanya. Mimi ambaye nipo kilometa kadhaa kutoka pale kijitonyama zilipo ofisi za ITV, boksi langu la maoni ni humu, jamii forum.
ITV haiwezi kupokea maoni wa wajinga wajinga
 
ITV haiwezi kupokea maoni wa wajinga wajinga
Wajinga wajinga kwa maana ya wewe unayeongea na mjinga mjinga au kwa maana ipi?. Mnavinyima nafasi ya kukua vyama vyenu mnavyovipenda kwa sababu ya hii stupid superiority complex ambayo inaishi ndani ya vichwa vyenu.
 
Naona dalali...wa Ardhi ya meru unalialia....Sis wana meru tunajua maswala yetu...na bado tuna Ardhi kubwa ,tunataka irud ......Joshua Nassary ni jembe....

Jipu kuu ardhi ya meru ni Mtei,inabidi muanze kumtumbua huyu.
 
Back
Top Bottom