Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Lakini pia niulize hivi ile harambee aliondesha akishirikiana na Lema ndio haya matunda yake?
Kwa lugha nyingine je pesa ailyopata kwenye harambee ilikuwa na lengo gani?
1. Ni kweli lakini hayakuhusu.
2. Kawaulize waliomchangia
Hiyo michango si sawa na wizi wa EPA kumsaidia "malaika" kwenye uchaguzi.