Hongera kamanda Nassary, Hongera makamanda waliomtia kajoto, sasa unganisheni nguvu yenu iwe moja, kwa maslahi ya chama chenu na wananchi wa Arumeru. Kazi iliyobaki ni moja tu, kuhakikisha Nassary anashinda beyond 90%
Mkuu huenda ushindi ukavuka asilimia 90%. Tunataka ushindi wake uandikwe kwenye vitabu vya historia