Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
huko ndio kusikitikiwa au kupongezwa?Thinking disorder
huko ndio kusikitikiwa au kupongezwa?Thinking disorder
Sasa mkuu ni kujipanga kutoa mchango wa hali na mali kuhakikisha Kamanda anashinda tusikomee kwenye keyboard tu....Kabisa Kamanda wangu!
Wanapigana angani na ardhini!
Makamanda wa vita kweli kweli!
Kuna mwarabu pale Maganzo shy ameshafirisika lakini kila siku anasifia injini ya ford aliyonunua mwaka 61 na iko juu ya mawe hamtofautiani.Sijui ile feasibility study ya John Mrema kama imefanyika vizuri ili wajue kampeni zao zitakwendaje na kambi wataweka wapi vinginevyo yaliyotokea Igunga na Uzini yatajirudi tu.
Vipi uko njiani kuelekea msibani maana CCM kwa sasa kilicho baki ni kuuana tu...huko ndio kusikitikiwa au kupongezwa?
Si ndiye aliyeshinda au chama chenu kinachagua wa mwisho.Nani kakwambia Sioi ndiye mgombea wa CCM?
Kuna ule umasikini wa akili.Umasikini ni neno pana sana...hebu lifafanue zaidi!!
Mpeni hongera zake!
He is going to be the best loser!
Atapata angalau 18% ya kura zote kwenye uchaguzi ujao!
wapiga kura walikua wachache sana...
Sawa si kila mtaji unazaa faida inategemea na mtunzaji ukizubaa wengine wanazichukua kama alivyozubaa yule wa CUF.Feedback, hata Lucas M. wa CUF alikuwa na mtaji Igunga 11,000
wanaouana ni CCM au CDM???Vipi uko njiani kuelekea msibani maana CCM kwa sasa kilicho baki ni kuuana tu...
CDM hamna transparency kwenye maswala yahusuyo pesa!Kwanza nimpongeze kwa ushindi........
Lakini pia niulize hivi ile harambee aliondesha akishirikiana na Lema ndio haya matunda yake?
Kwa lugha nyingine je pesa ailyopata kwenye harambee ilikuwa na lengo gani?
Huyu anachinjiwa baharini huwezi amini, ngoja tusikilizie nguvu za LowasaDah! ni ushindi wa tsunami, hongera Nassari sasa jiandae kupambana na Sioi.