johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Joshua Nassari aliyekuwa mbunge wa Arumeru kwa tiketi ya Chadema na sasa ni mkuu wa wilaya huko Mara amepiga marufuku Wazazi wa wanafunzi kuchangishwa michango yoyote wakati huu shule zinapofunguliwa.
Chanzo: Star tv!
Mungu wa mbinguni mbariki Joshua.
Chanzo: Star tv!
Mungu wa mbinguni mbariki Joshua.