Joshua Nassari ameshinda kura za maoni za ndani ya chama na hivyo kuwa amepitishwa na mkutano mkuu wa wilaya kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Arumeru mashariki kupitia chadema.
Nassari amepata kura 805, akifuatiwa na Anna Mgwira kura 23, Godlove Temba kura 18, Rebeca Magwisha kura 12, Samweli shami kura 10, Anthony musani kura 8 na yihane kimuto kura 6.
Taarifa ni kuwa wagombea wengine wameridhika sana na matokeo hayo, uchaguzi ulikuwa wa uwazi sana na uliendeshwa vizuri sana. Mzee Mtei Edwin ndiye aliyefungua mkutano huo.
Hivi sasa kuna shamra shamra na nderemo kubwa.
Updated 3/March/2012
[FONT=Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif]
Nassari amepata kura 805, akifuatiwa na Anna Mgwira kura 23, Godlove Temba kura 18, Rebeca Magwisha kura 12, Samweli shami kura 10, Anthony musani kura 8 na yihane kimuto kura 6.
Taarifa ni kuwa wagombea wengine wameridhika sana na matokeo hayo, uchaguzi ulikuwa wa uwazi sana na uliendeshwa vizuri sana. Mzee Mtei Edwin ndiye aliyefungua mkutano huo.
Hivi sasa kuna shamra shamra na nderemo kubwa.
Updated 3/March/2012
[FONT=Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif]
[/FONT]Wakuu salaam
Kamati Kuu ya CHADEMA inayokutana USA River, Meru, Arusha, katika kikao chake cha kawaida kujadili ajenda mbalimbali, leo imemteua Ndugu Joshua Samwel Nassari kuwa mgombea ubunge wa CHADEMA Jimbo la Arumeru Mashariki.
Aluta continua...mapambano yanaendelea