Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Hivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya.
===
Mnazikumbuka sababu ya NASSARI kuvuliwa ubunge? Nchi zenye vetting system, kwa sababu zile za Nassari kutelekeza shughuli za Bunge na akaenda kula maisha Beverly Hills, USA, akashindwa kuheshimu kanuni za bunge, asingeweza kuwa kiongozi wa serikali Lakini, ni misa ya shukrani
Spika wa bunge Job Ndugai ameandika barua kwenda kwa mwenyekiti wa NEC Jaji Semistocles Kaijage kumtaarifu jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi kutokana mbunge wake Joshua Nassari (CHADEMA) kupoteza sifa kuendelea kuwa mbunge. Amekosa vikao vya mikutano mitatu ya bunge mfululizo
Kwenye hilo la Nassari kufutiwa ubunge wake simlaumu Spika (kwanza-labda baadae) isipokuwa lawama naziweka hapa;
1. Ofisi ya Katibu mkuu CHADEMA
2. Josh Massari mwenyewe kama mbunge
3. Mnadhimu wa KUB (kambi ya upinzani bungeni)
Sitaki kuamini kwamba Josh Nassari alikuwa Vasco Da Gama pasi-na kutoa taarifa na kuomba ruhusa. Kama alifanya vyote basi Spika atapewa furushi la lawama.
Hilo ni kosa la kiufundi kufanywa na mbunge mzoefu aliyeingia bungeni kwa mbinde (2012) na labda alifanya makusudi (sifikiri hivyo) ili ang'olewe ubunge wake.
Kwamba Nassari Joshua hajui matakwa ya katiba ya Tanzania ibara ya 71(1)(c) au kanuni za kudumu za bunge kanuni ya 146(1)(2)
Ofisi ya katibu mkuu wa CHADEMA inapaswa kuhakikisha nidhamu ya wabunge wake inakuwa kwenye 'standards' kusimamia maadili na taratibu za kisheria kwa wabunge wake. Hii inatupa picha ya ofisi ya katibu mkuu wa CDM.
Hata kama unauguza mkeo au mzazi wako.. kuna taratibu za kibunge na katiba lazima zifuatwe kwako mbunge. Kanuni za kudumu za bunge ndio zinaongoza shughuli za bunge na wabunge. Katiba ya nchi pia. Utetezi wa Nassari ni dhaifu.
Hii ni "blunder" ambayo inatuonesha tulivyo na wabunge wasiojali uwakilishi wetu fedha zetu na kadhalika. Labda tu kama Spika atakuwa ameupotosha umma kwa kumuonea Joshua Nassari..
Lakini hadi hapa kwa taarifa hii ya bunge ikituonesha NEC kujuzwa jimbo la Arumeru Mashariki kuwa wazi, ni uzembe wa CHADEMA na KUB kushindwa kusimamia maadili na kanuni kwa wabunge wake. Wanajiendesha tu juu ya taasisi iliyowapa dhamana.
But what do i know??
#MMM
====
Unahitaji roho ya chuma kumtetea Nassari. Unakosa vipi vikao vyote vya mikutano 3 ya bunge ukiwa na afya timamu? Hii ni sawa na MWAKA MZIMA. Atleast angelikosa mikutano 2 na ule mmoja unahudhuria. Unaenda siku moja, unatia saini unaenda zako Seattle huko. Hawakupati popote. Sasa huyu mwaka mzima hajakanyaga Dodoma. Eti mimba. Unalea mimba? Wana Arumeru walichagua mbunge au Vasco Da Gama? Wanasiasa wengine chapa fimbo nyingi hadharani."
====
Documents. Documents. Documents. Documents.
Nassari anasema aliomba e-mail (aliomba) ya Spika na kupewa. Maana yake hakuwa na njia rasmi za mawasiliano na ofisi ya Spika.
Kwamba, mbunge mzoefu kama Nassari hajui kabisa miaka saba (7) amekuwa akiwasiliana vipi na ofisi ya spika?? Hajui kabisa?
Afadhali hata angelituma barua yake 'hard copy' kwa njia ya FedEx au DHL kuliko hizi porojo zingine alozoleta leo.
Jana Freeman aliposema 'Nassari awaeleze mwenyewe kilichotokea' watu wazima tulielewa. Tukajua hii 'blunder' Freeman anairuka. Hataki kushiriki huu "utoto" wa Josh.
Nilifikiri kama Nassari ameonewa, basi atakuwa na vielelezo. HANA. anatupiga kamba tu. Alipaswa kuwaonesha waandishi wa habari "alivyoonewa kwa vielelezo"
Halafu Nassari, kwani lazima uwasiliane 'direct' na Spika? Ofisi ya naibu spika ipo.. ofisi ya katibu wa bunge ipo. Kwanini hukutuma e-mail huko?
Twende hapa. CDM wanazo idara zenye kushughulika na masuala ya bunge. Kwamba Nassari hakuna taarifa zake hapo? Zipo wapi?
Ofisi ya KUB haina taarifa hizo? Zipo wapi sasa? Mnadhimu wa KUB hana taarifa za kimaandishi? Zipo wapi? Ok.. katibu mkuu wa CDM hana taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa?
Kuna maswali mengi najiuliza hapa. Sipati majibu. Press ya Nassari ina mapengo mengi sana. Inahitaji kujazwa nyama nyingi.
Ushauri wangu kwako Nassari. Nenda sasa mahakama za kikatiba. Nenda kwenye bunge la jumuiya ya madola. Peleka vielelezo. Kama unavyo, vitumie. Lasivyo itakuwa kazi bure.
But what do i know??
#MMM
====
Documents. Documents. Documents. Documents.
Nassari anasema aliomba e-mail (aliomba) ya Spika na kupewa. Maana yake hakuwa na njia rasmi za mawasiliano na ofisi ya Spika.
Kwamba, mbunge mzoefu kama Nassari hajui kabisa miaka saba (7) amekuwa akiwasiliana vipi na ofisi ya spika?? Hajui kabisa?
Afadhali hata angelituma barua yake 'hard copy' kwa njia ya FedEx au DHL kuliko hizi porojo zingine alozoleta leo.
Jana Freeman aliposema 'Nassari awaeleze mwenyewe kilichotokea' watu wazima tulielewa. Tukajua hii 'blunder' Freeman anairuka. Hataki kushiriki huu "utoto" wa Josh.
Nilifikiri kama Nassari ameonewa, basi atakuwa na vielelezo. HANA. anatupiga kamba tu. Alipaswa kuwaonesha waandishi wa habari "alivyoonewa kwa vielelezo"
Halafu Nassari, kwani lazima uwasiliane 'direct' na Spika? Ofisi ya naibu spika ipo.. ofisi ya katibu wa bunge ipo. Kwanini hukutuma e-mail huko?
Twende hapa. CDM wanazo idara zenye kushughulika na masuala ya bunge. Kwamba Nassari hakuna taarifa zake hapo? Zipo wapi?
Ofisi ya KUB haina taarifa hizo? Zipo wapi sasa? Mnadhimu wa KUB hana taarifa za kimaandishi? Zipo wapi? Ok.. katibu mkuu wa CDM hana taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa?
Kuna maswali mengi najiuliza hapa. Sipati majibu. Press ya Nassari ina mapengo mengi sana. Inahitaji kujazwa nyama nyingi.
Ushauri wangu kwako Nassari. Nenda sasa mahakama za kikatiba. Nenda kwenye bunge la jumuiya ya madola. Peleka vielelezo. Kama unavyo, vitumie. Lasivyo itakuwa kazi bure.
But what do i know??
#MMM
=====
Mwisho kabisa.
Suala la Nassari limenifanya nibaini kuna mstari mdogo sana unaoweza kuwatofautisha vijana wa upinzani na MATAGA. kwa aina hii vijana, tutaendelea kuwa na taasisi za hovyo za kisiasa. Vijana hawa wanatetea lolote linalofanywa na viongozi wao na kukosoa la upande mwingine.
Nimemsikiliza Joshua Nassari A~Z na kubaini kwamba hajauza jimbo, isipokuwa kwa uzembe na makosa yake ya kiufundi "amevuliwa ubunge" CDM wamelipoteza jimbo. Nyakati hizi sikutegemea mbunge wa upinzani afanye makosa ya kizembe na upumbavu wa bei rahisi. Costly mistakes. Blunders.
Fikiria, Ofisi ya katibu mkuu CDM imeonesha uzembe mkubwa. Ile idara inayohusika na masuala bunge nayo haina taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa. Ofisi ya KUB pia haina vielelezo.. nimefika wakati nikajiaminisha, bado ipo safari ndefu sana kufika mbele tuendako.
Taasisi imara sana ni ile iliyofanikiwa kwenye nidhamu ya wabunge na viongozi wa idara za HQ na hata KUB. Sasa mambo yapo shaghalabaghala sana. Mtu aina ya Nassari kwa uzembe huu alipaswa kuwajibishwa na taasisi yake kabla ya bunge. Lakini what happened? Tunamtetea 'mbunge mtoro' kwa faida ya nani?? Tumekuwa waswahili sana.
Tabia za kiswahili ni kati ya tabia za hovyo tu. Na tukiendelea na uswahili huu hata wachache hao wanaotuamini sasa wataacha kutuamini na watajitenga mbali nasi. Tutabaki yatima kama makinda ya ndege kwenye mbuyu mkubwa.
Kwa upande mwimgine, haya ni Matokeo ya bunge kutokuwa 'MUBASHARA' ndio matokeo ya wabunge kuwa watoro na kutochangia bungeni... wananchi wanashtukizwa maana hawana sehemu ya kuwaona wawakilishi wao hata pale wanapokuwa hawapo bungeni. Nape na Magufuli engineered that skirmish,
Anyways, tuendelee kujadili masuala mengine yanayotukabili
#MMM
===
Mnazikumbuka sababu ya NASSARI kuvuliwa ubunge? Nchi zenye vetting system, kwa sababu zile za Nassari kutelekeza shughuli za Bunge na akaenda kula maisha Beverly Hills, USA, akashindwa kuheshimu kanuni za bunge, asingeweza kuwa kiongozi wa serikali Lakini, ni misa ya shukrani
Spika wa bunge Job Ndugai ameandika barua kwenda kwa mwenyekiti wa NEC Jaji Semistocles Kaijage kumtaarifu jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi kutokana mbunge wake Joshua Nassari (CHADEMA) kupoteza sifa kuendelea kuwa mbunge. Amekosa vikao vya mikutano mitatu ya bunge mfululizo
Kwenye hilo la Nassari kufutiwa ubunge wake simlaumu Spika (kwanza-labda baadae) isipokuwa lawama naziweka hapa;
1. Ofisi ya Katibu mkuu CHADEMA
2. Josh Massari mwenyewe kama mbunge
3. Mnadhimu wa KUB (kambi ya upinzani bungeni)
Sitaki kuamini kwamba Josh Nassari alikuwa Vasco Da Gama pasi-na kutoa taarifa na kuomba ruhusa. Kama alifanya vyote basi Spika atapewa furushi la lawama.
Hilo ni kosa la kiufundi kufanywa na mbunge mzoefu aliyeingia bungeni kwa mbinde (2012) na labda alifanya makusudi (sifikiri hivyo) ili ang'olewe ubunge wake.
Kwamba Nassari Joshua hajui matakwa ya katiba ya Tanzania ibara ya 71(1)(c) au kanuni za kudumu za bunge kanuni ya 146(1)(2)
Ofisi ya katibu mkuu wa CHADEMA inapaswa kuhakikisha nidhamu ya wabunge wake inakuwa kwenye 'standards' kusimamia maadili na taratibu za kisheria kwa wabunge wake. Hii inatupa picha ya ofisi ya katibu mkuu wa CDM.
Hata kama unauguza mkeo au mzazi wako.. kuna taratibu za kibunge na katiba lazima zifuatwe kwako mbunge. Kanuni za kudumu za bunge ndio zinaongoza shughuli za bunge na wabunge. Katiba ya nchi pia. Utetezi wa Nassari ni dhaifu.
Hii ni "blunder" ambayo inatuonesha tulivyo na wabunge wasiojali uwakilishi wetu fedha zetu na kadhalika. Labda tu kama Spika atakuwa ameupotosha umma kwa kumuonea Joshua Nassari..
Lakini hadi hapa kwa taarifa hii ya bunge ikituonesha NEC kujuzwa jimbo la Arumeru Mashariki kuwa wazi, ni uzembe wa CHADEMA na KUB kushindwa kusimamia maadili na kanuni kwa wabunge wake. Wanajiendesha tu juu ya taasisi iliyowapa dhamana.
But what do i know??
#MMM
====
Unahitaji roho ya chuma kumtetea Nassari. Unakosa vipi vikao vyote vya mikutano 3 ya bunge ukiwa na afya timamu? Hii ni sawa na MWAKA MZIMA. Atleast angelikosa mikutano 2 na ule mmoja unahudhuria. Unaenda siku moja, unatia saini unaenda zako Seattle huko. Hawakupati popote. Sasa huyu mwaka mzima hajakanyaga Dodoma. Eti mimba. Unalea mimba? Wana Arumeru walichagua mbunge au Vasco Da Gama? Wanasiasa wengine chapa fimbo nyingi hadharani."
====
Documents. Documents. Documents. Documents.
Nassari anasema aliomba e-mail (aliomba) ya Spika na kupewa. Maana yake hakuwa na njia rasmi za mawasiliano na ofisi ya Spika.
Kwamba, mbunge mzoefu kama Nassari hajui kabisa miaka saba (7) amekuwa akiwasiliana vipi na ofisi ya spika?? Hajui kabisa?
Afadhali hata angelituma barua yake 'hard copy' kwa njia ya FedEx au DHL kuliko hizi porojo zingine alozoleta leo.
Jana Freeman aliposema 'Nassari awaeleze mwenyewe kilichotokea' watu wazima tulielewa. Tukajua hii 'blunder' Freeman anairuka. Hataki kushiriki huu "utoto" wa Josh.
Nilifikiri kama Nassari ameonewa, basi atakuwa na vielelezo. HANA. anatupiga kamba tu. Alipaswa kuwaonesha waandishi wa habari "alivyoonewa kwa vielelezo"
Halafu Nassari, kwani lazima uwasiliane 'direct' na Spika? Ofisi ya naibu spika ipo.. ofisi ya katibu wa bunge ipo. Kwanini hukutuma e-mail huko?
Twende hapa. CDM wanazo idara zenye kushughulika na masuala ya bunge. Kwamba Nassari hakuna taarifa zake hapo? Zipo wapi?
Ofisi ya KUB haina taarifa hizo? Zipo wapi sasa? Mnadhimu wa KUB hana taarifa za kimaandishi? Zipo wapi? Ok.. katibu mkuu wa CDM hana taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa?
Kuna maswali mengi najiuliza hapa. Sipati majibu. Press ya Nassari ina mapengo mengi sana. Inahitaji kujazwa nyama nyingi.
Ushauri wangu kwako Nassari. Nenda sasa mahakama za kikatiba. Nenda kwenye bunge la jumuiya ya madola. Peleka vielelezo. Kama unavyo, vitumie. Lasivyo itakuwa kazi bure.
But what do i know??
#MMM
====
Documents. Documents. Documents. Documents.
Nassari anasema aliomba e-mail (aliomba) ya Spika na kupewa. Maana yake hakuwa na njia rasmi za mawasiliano na ofisi ya Spika.
Kwamba, mbunge mzoefu kama Nassari hajui kabisa miaka saba (7) amekuwa akiwasiliana vipi na ofisi ya spika?? Hajui kabisa?
Afadhali hata angelituma barua yake 'hard copy' kwa njia ya FedEx au DHL kuliko hizi porojo zingine alozoleta leo.
Jana Freeman aliposema 'Nassari awaeleze mwenyewe kilichotokea' watu wazima tulielewa. Tukajua hii 'blunder' Freeman anairuka. Hataki kushiriki huu "utoto" wa Josh.
Nilifikiri kama Nassari ameonewa, basi atakuwa na vielelezo. HANA. anatupiga kamba tu. Alipaswa kuwaonesha waandishi wa habari "alivyoonewa kwa vielelezo"
Halafu Nassari, kwani lazima uwasiliane 'direct' na Spika? Ofisi ya naibu spika ipo.. ofisi ya katibu wa bunge ipo. Kwanini hukutuma e-mail huko?
Twende hapa. CDM wanazo idara zenye kushughulika na masuala ya bunge. Kwamba Nassari hakuna taarifa zake hapo? Zipo wapi?
Ofisi ya KUB haina taarifa hizo? Zipo wapi sasa? Mnadhimu wa KUB hana taarifa za kimaandishi? Zipo wapi? Ok.. katibu mkuu wa CDM hana taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa?
Kuna maswali mengi najiuliza hapa. Sipati majibu. Press ya Nassari ina mapengo mengi sana. Inahitaji kujazwa nyama nyingi.
Ushauri wangu kwako Nassari. Nenda sasa mahakama za kikatiba. Nenda kwenye bunge la jumuiya ya madola. Peleka vielelezo. Kama unavyo, vitumie. Lasivyo itakuwa kazi bure.
But what do i know??
#MMM
=====
Mwisho kabisa.
Suala la Nassari limenifanya nibaini kuna mstari mdogo sana unaoweza kuwatofautisha vijana wa upinzani na MATAGA. kwa aina hii vijana, tutaendelea kuwa na taasisi za hovyo za kisiasa. Vijana hawa wanatetea lolote linalofanywa na viongozi wao na kukosoa la upande mwingine.
Nimemsikiliza Joshua Nassari A~Z na kubaini kwamba hajauza jimbo, isipokuwa kwa uzembe na makosa yake ya kiufundi "amevuliwa ubunge" CDM wamelipoteza jimbo. Nyakati hizi sikutegemea mbunge wa upinzani afanye makosa ya kizembe na upumbavu wa bei rahisi. Costly mistakes. Blunders.
Fikiria, Ofisi ya katibu mkuu CDM imeonesha uzembe mkubwa. Ile idara inayohusika na masuala bunge nayo haina taarifa za mbunge wake kuwa nje ya nchi kwa ruhusa. Ofisi ya KUB pia haina vielelezo.. nimefika wakati nikajiaminisha, bado ipo safari ndefu sana kufika mbele tuendako.
Taasisi imara sana ni ile iliyofanikiwa kwenye nidhamu ya wabunge na viongozi wa idara za HQ na hata KUB. Sasa mambo yapo shaghalabaghala sana. Mtu aina ya Nassari kwa uzembe huu alipaswa kuwajibishwa na taasisi yake kabla ya bunge. Lakini what happened? Tunamtetea 'mbunge mtoro' kwa faida ya nani?? Tumekuwa waswahili sana.
Tabia za kiswahili ni kati ya tabia za hovyo tu. Na tukiendelea na uswahili huu hata wachache hao wanaotuamini sasa wataacha kutuamini na watajitenga mbali nasi. Tutabaki yatima kama makinda ya ndege kwenye mbuyu mkubwa.
Kwa upande mwimgine, haya ni Matokeo ya bunge kutokuwa 'MUBASHARA' ndio matokeo ya wabunge kuwa watoro na kutochangia bungeni... wananchi wanashtukizwa maana hawana sehemu ya kuwaona wawakilishi wao hata pale wanapokuwa hawapo bungeni. Nape na Magufuli engineered that skirmish,
Anyways, tuendelee kujadili masuala mengine yanayotukabili
#MMM