Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

Nimeisoma Hii Mada Nimetapika Hata Chai Imenishinda Kunywa,mleta Mada Unazidi Kuidhalilisha ccm ni Kiasi Gani Kilivyo Chama Cha Washenzi Watupu,where Was The Point At? Ndiyo Nini Umeandika Lijinga Wewe? Kwanza Mnawamaliza Albino Wetu Then Unakuja Kuleta Uharo Hapa?

Kumbe albino wanavyo......ahaaaaa!!! naanza kuelewa sasa.
 
ccm wako kwenye siasa tayari. na uvccm anahusika vipi na mambo ya jimboni hadi apewe ugeni rasmi? angekuwa mkuu wa wilaya sawa. angekuwa ded sawa lkn mkiti uvccm kuwa mgeni rasmi na mbunge kuwa mgeni wa kawaida ni dharau kwa mbunge. lkn kwa uungwana amehudhuria.


isijekuwa pesa zimetumika kununua kuws mgeni rasmi na amejazwa mapesa kuhakikisha anajionesha bora kwa wapiga kura.

Hivi hizo hela za kutoa toa hivyo na sanasana kipindi cha kampeni ccm wanazitoa wapi? Ujue inauma mazee na hali ya maisha ya sasa!
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha
Very cheap politicks yaani coz pallangyo katoa mifuko mingi ya cement na 5million cash kwamba ndie anaefaa kupewa ubunge?my foot!wa TZ si viazi kama mleta uzi unavyotaka watu tuamini,hivi kweli mifuko 100 ya cement na 5million ndiyo bei ya wana meru?please see a psychastric to examine your brain...
 
Acha kutukana wameru wewe, ina maana idadi ya mifuko ya cement iliyochangiwa shule ya Sing'isi ndo kigezo cha mtu kua mbunge wa Arumeru?? Kwa hyo na mimi ningepanda dau nkafika mifuko 200, ningeitwa mbunge??.... Nassari alishtukia mtego wenu ndo maana hakukataa mualiko wenu, kwa hilo NAMPONGEZA NUKTA
 
Sing'isi hakuna wa kuimba "Mbunge, Mbunge, Mbunge" kwa mwana CCM yeyote achilia mbali John D babu.

Mh. Nassari alitoa alichimoweza na kitatimilika. John D
vyote alivyotoa ni ahadi, na hazitmiliki hata kwa 80%.

Usidanganye katoa Cash.


Mmaranguoriginal haufanani kiumri na uongo unaopost hapa kila mara kuhusiana na Mh Nassari
 
hivi kuchangia mifuko 50 ndio inatia aibu...? hao wanaoshangilia wametoa nini zaidi ya makofi tu...?
 
Habari za humu nawasalimu sana.

Jana katika shule ya sekondari ya Singisi waliyani hapa arumeru mkoani Arusha kulikuwa na uzinduzi wa ufunguzi Wa madarasa ambapo kampuni ya cement ya Simba ilijenga hayo madarasa kuwawezesha wanafunzi wetu wasome kwa Amani.

Mosi katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa ni kamanda John D Pallangyo Wa Uvccm meru na pia mbunge Wa jimbo hilo mbunge Joshua Nasary alialikwa pia kama wadau Wa maendeleo ndipo Hapo aibu kila mmoja Wa waalikwa walipochangia uzinduzi huo ambapo mbunge Nasary alichangia mifuko 50 ya cement na kamanda John Pallangyo akachangia mifuko 100 na shilingi millioni 5 cash na wananchi kumshangilia kwa kumuita mbunge, mbunge, mbunge mtarajiwa kitendo hicho kilimpa aibu kubwa sana Nasary na kutokomea kusikojulikana kwa aibu kubwa ya mifuko 50.

My take: Wananchi Wa meru wanatakiwa kufanya mamamuzi magumu mwaka huu kwenye nafasi hii nyeti ya ubunge hapa meru kwa kumuweka mtu sahihi kama John Pallangyo ambaye anaonekana mwenye kupenda maendeleo ya dhati

Nawasilisha

kuchangia mifuko 100 na milioni 5 ndio kupenda maendeleo?hopeless kabisa wewe.
 
Kuna watu ndani ya CCM wanachangia pesa na Mali kuliko Rais Kikwete je wao ndo wawe marais??
 
Mmaranguorigional upo mkuu? Ebu nisaidie harambee ipo kwenye majukumu ya msingi ya mbunge? Na jee hivi kwenye harambee kunakuwaga na mashindano ya kutoa kama kwenye mnada? Na Kama Pallangyo ndo alikuwa mgeni rasmi huoni kama alichotoa kiliendana na ugeni rasmi? Sidhani wala kufikiri kama wameru walimchagua nassari kwa ajili ya harambee!

Mkuu KombaJr, umepotea sana mpambanaji mwenzangu nipo hapa sinza Mori na kamanda John Pallangyo tunapata mturaa kidogo na kupeana mikakati ya kurejesha jimbo toka kwa dogo nasary
 
IO, kama tatizo ni hilo dawa si kukataza wagombea huru bali kuweka mazingira ambapo wagombea huru wanaweza kushirika katika nafasi mbalimbali za uongozi! Na tunaposema wagombea huru sio kwa nafasi ya urais peke yake hata madiwani, wabunge, au viongozi wa mitaa!! Ni wajibu wa serikali kuja na njia au mtindo mzuri ambapo hata wagombea huru wanaweza kujaribu nafasi zao za uongozi!

Ni mzee mmoja mgonjwa mgonjwa anaweza fia jukwaani mana kila mara anasafiri kwenda tibiwa nje ya nchini
 
Back
Top Bottom