Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu hao si ni miongoni mwa mapendekezo ya chama. Kama hawana sifa ilikuwaje chama kikawapendekeza?Kama kweli ccm imewapigia kura hawa wanawake, ccm inangamiza nchi !!
Mkuu hao si ni miongoni mwa mapendekezo ya chama. Kama hawana sifa ilikuwaje chama kikawapendekeza?Kama kweli ccm imewapigia kura hawa wanawake, ccm inangamiza nchi !!
Kumbuka na katika hao wanaume wanne, mmoja ni Habib Mnyaa! Kweli hili Taifa wote tunastahili kupimwa akili.'
Wabunge wa CHADEMA waliochaguliwa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
1. Josephine Lemoyan
2. Pamela Maasay
Wabunge: 9
Wanaume: 4
Wanawake 5
kama wabunge waliyo chaguliwa hawana uwezo wakulaumiwa chadema ndiyo waliwapendekeza wanawake mbumbumbuKwa kweli, Tanzania bado sana, wamewachinjia baharini watu wenye uwezo.
Aiseeeeeh, Tanzania yangu,,, Nyerere arudi tu atukomboe.
Ndugai, aliuliza siku ile kati ya huyo.na huyo ni nani mwanamke, mbona leo, amechekelea na kupongeza mbona hajauliza kuhusu hayo matokeo kuwa mwanaume ni nani kati ya Pamela na Josephine!??
Daaah, Tanzania, eeeh, Hayati Mwl. Nyerere njoo uiondoe sisiemu yako wewe mwenyewe aiseee!!!
Ccm ni kikwazo cha maendeleo nchi hiikama nilivyohisi Pamela na Josephine wamepeta. CCM Mungu anawaona
Simba wamerudishiwa pointi zao usiku huu na fifa
Kwani wanawake wana tatizo gani?Kama kweli ccm imewapigia kura hawa wanawake, ccm inangamiza nchi !!
Walioshinda Wamestahili Maana ni Wagombea Chadema Iliwaona Wanafaa. Demokrasia Imechukua Mkondo Wake.. Sio Kila Anayeboronga Interview Basi Inamanisha Hatakuwa Mfanyakazi Mzuri Hasa Interview za Ajira (Nina Uzoefu Huu)...Wanawake wote wawili kushinda pamoja na madhaifu walioyaonesha wakati wa interview hasa yule Pamela Masai nini maoni yako? Je ni kusema ccm imeamua kuwakomesha kina
Masha
Wenje
Safari na
Mwalim pamoja na uzoefu wao na competitiveness yao!
Hata Wasingepeleka Mengine Hao Wagombea Unaowataka Kamwe Wasingepita - NINA UHAKIKA NA NINACHOSEMANdio maana wengine tulisema CHADEMA wasipeleke majina mengine