Josephine Lemoyan na Pamela Maasay wachaguliwa kuwa wabunge wa Afrika Mashariki kutoka CHADEMA

Masha na wenje very bright.
Ila ujinga wa ccm utaonekana na walishauonesha hapo awali
 
Umeshawahi kumsikiliza Shaka Ssali host wa kipindi cha straight talk Africa VOA?

Hivi huu ujinga utatutoka lini?
Mwambie amwangalie shaka ssali yuko startv voa sasa huvi asikilize matamshi yake
 
Mimi sikufatilia sasa nilkuwa naangia hapo mbona tena mda huu imekata au nisim yangu inazingua ???
 
Back
Top Bottom