Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Hapa ulikuwa unakunya unaandika ukashutuka mjuzi huko mbele yako hadi ukashindwa kumalizia sentensi.

Kuna mtu humu, kwa maongezi yake tunavyomsoma tunamfahamu, yuko sawa na Mbwa aliyeushikilia Mfupa kwa miguu yake huku akiwatishia Mbwa wenzake wasimsogelee kwa kuhofia atanyang'anywa. Toa Uhuru Ukosolewe ujirekebishe, La si hivyo huko unakoelekea shimoni hakuna atakayekuvuta utolewe, nafasi ukishaipoteza.
 
Halafu yule hawara ya Mbowe Bi.Joyce Mukya anagombea Kinondoni.
 
Kijarida hiki cha mafisadi chaweza kupika kila kitu! hakiwezi kuandika kuwa JK amejaza mahawara kwenye nafasi zote za serikali. CDM hakiwezi kufanya yote ya umbea huu!

Tungojee basi tuone kama sio kweli Josephine anamuingilia Mdee jimboni.
 
Naona kuna vibaraka wa ccm wameamua kuwa busy kupost hoja za kizushi ili kujaza nafasi.lengo lao ni kuwaweka watu busy kujadili mambo ya uwongo na yasiyo na umuhimu ili kuzuia watu wasiweke mawazo yao kwenye issue za muhimu kama escrow,gas pipeline,epa,radar,richmond,etc...please dont let them fool us again.dont let them use ur energies.kwa hiyo naomba wenye uelewa wasijibu threads kama hizi..be blessed!
 
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.
 

Attachments

  • 1423245330368.jpg
    1423245330368.jpg
    7.5 KB · Views: 2,856
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.

Maruhani wameanza kufufuka tena.
 
Vichaa walikuwepo toka enzi za yesu so wengine hatushangai kuona kichaa cha mbwa kuharuka jf.
 
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.


kwani halima mdee ndo alimvisha ubunge zitto hadi amvue????
 
Huu sasa umbea wa hadharani....utasutwa mchana kweupeeeeee, jiangalie sana
 
Back
Top Bottom