Joseph Ludovic: Viongozi wa dini wana haki na wajibu wa kukemea maovu lakini lugha wanayotumia si ya kiuchungaji

Joseph Ludovic: Viongozi wa dini wana haki na wajibu wa kukemea maovu lakini lugha wanayotumia si ya kiuchungaji

Joined
Dec 9, 2025
Posts
50
Reaction score
84
Joseph Ludovic ambaye ni mwalimu wa na masomo ya dini mbali na kulaani vurugu za uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu ametoa wito kwa viongozi wa dini kuponya taifa kwa kuhimiza maridhiano badala ya kugeuka kuwa wachochezi kwa kutoa kauli zenye viashirio vya uchochezi wa kuligawa taifa.


 
Mwalimu wa dini aliyefeli useminarini, eti anafundisha maaskofu dini, wenye pHd zao zisizo na mawaa! Tupo bize na wanyonya uchi bana asituharibie siku hapa
Busu la Kenge
 
Back
Top Bottom