Jordan na Marekani waambiwa wasifanye utani na maisha ya watu. Wadondosha vifurushi vichache vya chakula bila maji

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
Mashirika kadhaa ya misaada na wanasiasa wamezibeza juhudi za Marekani na ufalme wa Jordan za kudondosha vyakula kwenye jimbo la Gaza kama ni mchezo usiopendeza kipindi hiki watu wanakufa njaa jimboni humo.
Seneta wa Marekani,Jeff Merkley ameuambia utawala wa raisi Biden ikiwa kweli wamekusudia kusaidia matatizo ya watu wa Gaza basi lazima misaada ipelekwe kwa njia ya ardhini na baharini.Akaongeza kwa kusema misaada lazima iende kulingana na ukubwa wa mahitaji na aina ya mahitaji hayo.
Hapo jana katika vifurushi vichache vilivyodondoshwa jimboni humo vilikuwa havikujumuisha maji wala madawa ambavyo kwa hali ya Gaza ni vya lazima.
Ndege ya mizigo ya kijeshi ya C-130 ilidondosha vifurushi 38,000 tu na vyote vikiwa havina maji wala dawa.
Ndege moja ya aina hiyo ina uwezo wa kubeba uzito sawa na lori moja tu wakati mahitaji ya kawaida ya Gaza kwa siku moja ni malori 500.
Eneo ambalo hupendelewa kudondoshwa mahitaji hayo ni ukanda wa bahari ambapo wiki iliyopita misaada kama hiyo mingi ilidondokea baharini.Michache tu kati yao iliweza kupatikana na wavuvi ikiwa na vitu ambavyo havikuwa na thamani ya uzito wa plastiki uliotumika kuvihifadhi.

Gaza airdrops might not be necessary if Israel faced more pressure on aid

 
Mashirika kadhaa ya misaada na wanasiasa wamezibeza juhudi za Marekani na ufalme wa Jordan za kudondosha vyakula kwenye jimbo la Gaza kama ni mchezo usiopendeza kipindi hiki watu wanakufa njaa jimboni humo.
Seneta wa Marekani,Jeff Merkley ameuambia utawala wa raisi Biden ikiwa kweli wamekusudia kusaidia matatizo ya watu wa Gaza basi lazima misaada ipelekwe kwa njia ya ardhini na baharini.Akaongeza kwa kusema misaada lazima iende kulingana na ukubwa wa mahitaji na aina ya mahitaji hayo.
Hapo jana katika vifurushi vichache vilivyodondoshwa jimboni humo vilikuwa havikujumuisha maji wala madawa ambavyo kwa hali ya Gaza ni vya lazima.
Ndege ya mizigo ya kijeshi ya C-130 ilidondosha vifurushi 38,000 tu na vyote vikiwa havina maji wala dawa.
Ndege moja ya aina hiyo ina uwezo wa kubeba uzito sawa na lori moja tu wakati mahitaji ya kawaida ya Gaza kwa siku moja ni malori 500.
Eneo ambalo hupendelewa kudondoshwa mahitaji hayo ni ukanda wa bahari ambapo wiki iliyopita misaada kama hiyo mingi ilidondokea baharini.Michache tu kati yao iliweza kupatikana na wavuvi ikiwa na vitu ambavyo havikuwa na thamani ya uzito wa plastiki uliotumika kuvihifadhi.

Gaza airdrops might not be necessary if Israel faced more pressure on aid


Hata Waisrael walikuwa wanadondoshewa chakula kutoka mbinguni hawakuridhika na wakasema wamekichoka.. no shukrani tu.
 
Hata Waisrael walikuwa wanadondoshewa chakula kutoka mbinguni hawakuridhika na wakasema wamekichoka.. no shukrani tu.
Walikikataa tu kile chakula lkwa kusema wamekichoka akini ilikuwa ni mlo kamili.Allah hakuwanyima isipokuwa jeuri tu.
Hiki wanachopewa watu wa Gaza ni pungufu na hakitoshi kabisa.
Kama wana choyo na mbinu zao nyengine basi wawaachie watafute wenyewe badala kuwadondoshea zigo la maplasitiki ni keki moja.
 
Njaa mara nyengine ndio inaongeza ukali wa adui na ukila kidogo unajenga akili kubwa.
weee thubutuuu

Tumbo lilishawahi kukusokota kwa sababu ya njaa?

Kama hujawahi kuipitia hiyo hali usiombe ikukute

Mimi ilishanikuta najua ubaya wake, achana na njaa mkuu
 
Walikikataa tu kile chakula lkwa kusema wamekichoka akini ilikuwa ni mlo kamili.Allah hakuwanyima isipokuwa jeuri tu.
Hiki wanachopewa watu wa Gaza ni pungufu na hakitoshi kabisa.
Kama wana choyo na mbinu zao nyengine basi wawaachie watafute wenyewe badala kuwadondoshea zigo la maplasitiki ni keki moja.
Allah hajawahi wapa watu chakula zaidi ya kuwaza kuwaua kupitia waislamu,Sema Jehova ndio aliwapa wana wa Israel chakula.
 
Back
Top Bottom