Joram kiango vs Willy Gamba

 
Sahihi kabisa.
 
Kabisa waliopata kusoma kipindi hicho nafikiri kwao hayo mambo ya AI yalikuwa ni ya kufikirika zaida
 
Benny R Mtobwa na muhusika wake Joram Kiango kwenye simulizi kitabu cha kuitwa Malaika wa Shetani
Ni simulizi bora kabisa kwangu kuisoma, na nnakitafuta saaaana hiko kitabu nlishaenda enzi zile ubungo kuuliza waaaapi, nikaenda kisutu pale nyuma ya peacock Hotel nikakikosa pia, baadae hii simulizi nikaja kuifananisha na mkasa wa JK na Lowasa

Simulizi nyingine bora kabisa kuipitia ni ya Hussein Tuwa na simulizi ya Kina Badi Gobos na wenzie
Pia ile ya Utata wa 9/12
 

Waote waliosoma vitabu vile na kuvielewa, akili yao iko tofauti sana. Kiufupi iko juu.
Elvis Musiba alikuwa shida.
 
Aliyeandika watoto wa mama ntilie alitisha sana. Wanadai hao kina gamba et al walikuwa wana copy iriwaya za kizungu za kina chase na kuzileta kwa kiswahili japo siamini hili.
Naiomba hii Riwaya Mkuu please
 
Anasema fear is only thing that opens wallets of riches
 
Naam Willy Gamba nilikuwa naishi hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…