Joka mwenye vichwa saba

Weka picha..
NWN2_SS_042512_192841.jpg

 
kweli,hata me nilisikia kwa kuhadithiwa...na anaitwa Nondo...na kwa mujibu nilivyoambiwa ye huwa anaishi chini yaani ndani ya milima/vichuguu na akimove ndo hisababisha earthquake ktk maeneo hayo!..ila hili la utajiri nalickia kwako!!
Huko ndani ya milima mwalimu alinifundisha kuna mentle na core na huwa kuna joto sana. Sasa huyo joka anaishije huko? makubwa!
 
Ni stori tu mkuu..hakuna ukweli wowote na hakuna aliyewahi kuliona..ni sawa na zile habari za yule samaki nguva kufanana na binadamu.
 
hii story kw kias flan c geni kwngu coz nliwah kuambiwa na m2 na akaniambia nipange cku 2ende according to yye anasema lipo ktk mlima ya usambara na mda mzuri wa kuliona ni asubuhi wakati linaeleka mtoni kunywa maji afdhal nmekmbuka ntafind nkamwone
 
nkienda ntajitahidi kurudi na yai lake ambalo hulilinda mda wote coz naskia ni deal kwlkwl!
 
Mie ninalo hilo joka nimelifuga home kwangu,so natenga siku maalumu ili nilipopowe mpaka life kisha nianze kuuza magamba yake,tayari kuna wazito wa nje na ndani ya nchi wameshanipa oda na kila anaye place order to me lazima alipie form ambayo ni tsh 11,371 tuu.
Nipe PM ntakuwekea namba yangu unirushie.

Nadhani tunapotea sana kwa kusikiza vitu visivyo vya kweli!!!
 
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna joka lenye vichwa saba linapatikana duniani.Kuna bwana mmoja aliniambia joka hili huuwa linapita chini ya miamba ya milima kwa mwaka mara moja hata hapa Tanzania chini ya milima mikubwa.Wanasema watu wanaohitaji utajiri huwa wanatega visu kwenye njia linayopita ili kupata kipande cha gamba lake ambacho kinahusishwa na kupata utajiri. Naomba mwenye utaalamu au uelewa kuhusu hili joka atujuze tuweze kujua kuhusu hili joka

kamuulize huyo bwana mmoja aliyekuambia amalizie the other part of the jigsaw puzzle....maana watoto wa siku hizi mnaendekeza sana ujinga na short cuts kufikia mafanikio...poor you!!!
 
Eeeh lipo hilo joka mi mwenyewe nshaliona nlikua nalitegea kisu huko chini ya milima ili niwe tajiri lakini nlipoliona ilibidi nifunguke mbio usipime huwezi amini niliupiga mlima kumbo hadi leo pamebaki wazi pale nilipopita
mmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhh???????
 
Nyoka huyu ni ccm, anauma pande zote, kwa maccm, kwa upinzani na kwa wafanya biashara ya unga.
 
Mbona mnamuharibia uzi wake jamani?mwenzenu yuko serious nyie mnaanzisha "zero brain"!jf bhana!kaka yangu aliwahi kukutana na story hizo zamani milima ya uluguru.Alikwenda kumsalimia babu.Siku moja akiwa huko kijijini pale walifanya matambiko halafu kesho yake mvua na upepo mkali ikaanza kunyesha.Wazee wakaamuru watu wote waingie ndani.Mvua ilipoisha babu akamshika mkono hadi nje eneo lenye mashamba na kukuta kila mtu yuko huko.Kulikuwa na barabara kuubwa imetengenezwa porini,imejaa magamba makubwa sana chini.Babu akamwambia kaka kuwa huyo ni joka wa mizimu.Huwa anapaa na kwenda baharini kila baada ya miaka fulani.na watu wa pale wanaelewa habari yake vizuri tu.Sasa sijui kaka nae alinidanganya?binafsi nilikutana na mambo ya ajabu ajabu Matombo,kijiji cha Mvuha,kule Moro hadi leo siyaelewi ila tukisema hapa tunaonekana wachawi!ila ilikuwa rahisi kwenu kuamini lile joka la Misri?.au kwa vile mliona picha?Hayo maviumbe yapo sema mara nyingi huwa na mauzauza!waulizeni wafanyabiashara wa mazao ya misitu kama mbao,kuna misitu hawaingii kukata miti hadi wafanyiwe matambiko na wenyeji,kuna mambo ya ajabu sana duniani hapa sijui kwa nini hayasemwi na media.
 
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna joka lenye vichwa saba linapatikana duniani.Kuna bwana mmoja aliniambia joka hili huuwa linapita chini ya miamba ya milima kwa mwaka mara moja hata hapa Tanzania chini ya milima mikubwa.Wanasema watu wanaohitaji utajiri huwa wanatega visu kwenye njia linayopita ili kupata kipande cha gamba lake ambacho kinahusishwa na kupata utajiri. Naomba mwenye utaalamu au uelewa kuhusu hili joka atujuze tuweze kujua kuhusu hili joka

Sasa na wewe mbona hujasema ''......na hadithi yangu inaishia hapo....'' ili tukupigie makofi....
 
Back
Top Bottom