Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Naamini CHADEMA wako radhi kumfukuza, ila hata wakimwondoa kupitia vikao halali vya chama; itaishia kuwa kama issue za akina Kafulira na Hamad Rashid. Haitaleta tija.Chadema wanamlea sana. Wahangaike na wanaccm halafu wahainge na shibuda?