Wamwache tu hakuna anayejali kauli za gamba hili!eti ametishia kutoa siri za chama, cdm hatuuz unga, pmb za tembo wala magendo ya aina ya yoyote, kaz yetu kulinda maslai ya umma, huyu hana siri yoyote fukuza huyu mchumia tumbo. After miez michache atakue amesaulika.
Mkuu uko sahihi kabisa!! Ni kuachana naye huku mkihakikisha hatimizi yale yanayoonekana kutaka kuyafanya, msimpe nafasi za kuuza ***** wake na watu wakamuona ana hoja.HANA JIPYA MWENDAWAZIMU HUYo
Tangu mwanzo nililipinga sana suala la kupokea rejects wa CCM bila scrutiny!
Napendekeza: Shibuda auwawe!
Kosa lake ni haya anayoyasemakosa la shibuda ni lipi..??? kutangaza nia...?! ndio mwataka afukuzwe uanachama ..?! je kuna mtu CDM wameshapanga aje kugombea..!?
Kweli umesema vizuri sana mzee,ni kama lowassa anavyotetewaga na wapinzani wa ccm nw engine humu humu wakienda mbali zaidi kwa kudai hakuna mgombea bora wa urais ccm kama lowassa!yani wanaomteteaga lowassa humu ndani wengi ni cdmooh no; tatizo siyo kutangaza nia. Sidhani kama hilo ni tatizo. Soma vizuri utaona tatizo hasa nini. Uzuri ni kuwa utaona wana CCM ndio wanamtetea Shibuda na mambo yake kwamba asionewe. Adui yako anapomtetea msaliti wako na wewe ukimsikiliza atakucheka!
malaya kama hawa wapo wengi Shiverz.