Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,723
- 218,285
Hatimaye CHADEMA imeamua kukata mzizi wa fitina kwa kuanika hadharani kila neno lililomo kwenye Nyaraka za Maridhiano yaliyovunjika baada ya CCM kuweka mpira Kwapani.
Kauli hiyo Thabiti imetolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho John Heche, aliyekuwa pia Mjumbe wa Timu ya Chadema ya Maridhiano.
Lengo la Jambo hilo Muhimu ni kuwezesha wananchi wote kujua kila kilichozungumzwa kwenye maridhiano hayo na kupima wenyewe utapeli wa ccm, lengo lingine kabambe ni kuhakikisha Viongozi wa CCM kuanzia Mwenyekiti wao wa Taifa WANAUMBUKA MBELE YA JAMII YA WATANZANIA KWA KUKWEPA HAKI NA KUKUMBATIA DHULUMA
Usithubutu kuondoka JF, Kama kawaida yetu tutakuwekea Uhondo wote hapa hapa katika mfumo ule ule wa kizuri kula na nduguyo.