Huko Shiverz ndiko mnakokutana na David Cameron?malaya kama hawa wapo wengi Shiverz.
CHADEMA nao wanatakiwa kuwafunda kina Heche. Shibuda hatakiwi kuwa engaged kwenye majukwaa ya siasa. Wamwache afanye analotaka kufanya. Shibuda yupo kwenye suicide mission aliyotumwa na CCM, yaani kujilipua ili aondoke na credibility ya CDM. Njia pekee ya kushinda mission hiyo ni kumwacha Shibuda abwabwaje na 2015 akiomba kugombea jimbo la maswa kwa ticket ya CDM wampatie nafasi vilevile, kama akisema arudia kuvaa gamba basi wamwache.
CDM wakianza kufuata jinsi Shibuda alivyoenda rogue na kutaka kumdhibiti, itakuwa ni furaha kwa CCM. CCM waliisha mwita huyu jamaa na kumtaka radhi kwa kumtosa 2010 na kumuahidi makubwa kama atawasaidi kuiingiza CDM katika migogoro. Ukweli ni kwamba Shibuda hawezi kuiingiza CDM kwenye migogoro kwani si kiongozi hivyo ni wa kumpuuza tu. Mheshimiwa kamanda Mbowe tumia busara zako kwenye hili waambie CDM na vijana wote kuwa Shibuda ni mtu huru wamwache aongee anavyojisikia na wala wasimjibu. CDM you are winning the battle against CCM msikubali kuondolewa mawazo yenu kwenye trigger kwa kupitishiwa binti asiyekuwa na nguo.
Chadema wanamlea sana. Wahangaike na wanaccm halafu wahainge na shibuda?
Chadema wanamlea sana. Wahangaike na wanaccm halafu wahainge na shibuda?
Mtu wa Pwani, asubirie utawala wa CCM uridhie officially hoja ya mgombea binafsi 2015; ili kufahamu iwapo Wanamaswa walimchagua kwa utashi wa CCM, Chadema au yeye binafsi kama Shibuda!!Kwa kweli inaonekana watu hawajamfahamu Shibuda vizuri, au wana ajenda zao za siri kama anavyohisi. Chadema kinasimamia Demokrasia ya kujieleza na kusema unachokiamini alimradi huvunji sheria za chama. Kutangaza nia kuwa anautaka urais ni haki ya kila mwana Chadema, cha msingi mwisho kila mtaka kugombea urais atapa
Suala ni kufata taratibu za chama na chama kitachagua nani awe mgombea wake. Awe Zitto, Lema, Dr Slaa au mwenginewe. Chadema msiwe kama vyama vingine kuwa na umungu mtu ndani ya chama.
chadema wana vikao vyao, kama wanaona kweli SHIBUDA kakosea wamwite wamjadili na wamsikilize, ila kwa wanavyoenda ni rahisi kuamini kuwa kuna watu wamejiandaa kumuonea na kumzika kisiasa kwa njia za uonevuShibuda anapotosha umma kwa sababu yeye hajatumia taratibu za kichama kutangaza nia yake, kila chama kina taratibu zake, ktk tamko lile Mh. Heche amemshutumu huyu kwa kukiuka kanuni siyo usukuma wake. Huyu mzee ameonyesha udhaifu kwa kupotosha umma.
Pia mara Slaa mara Kikwete hatujui jibu ni lipi sasa. Kanuni zipo hata ktk ngazi ya familia. Mfano: Uwoya alienda kutangaza ktk media hampendi wala hajawai kumpenda Ndikumana, endapo Ndiku angemkemea angesema anamnyanyasa sababu ya uanamke wake au upumbavu wake? Hayo ni mambo ya family angepaswa kwenda kwa wazazi kueleza matatizo yake na siyo media za udaku, japo mfano haufanani ila mantiki ipo sawa, wale madiwani wa arusha walikua wasukuma?
Ktk Africa tunaamini ktk jambo lolote linalotaka busara basi wazee ndio kisima cha hekima na busara ila kama wazee wenyewe ndo hawa na kina mkapa na wassira basi wakizalisha vijana kama lusinde tusishangae, mi nilijua tuna ombwe la uongozi tu kumbe hata ombwe la wazee.
Sion kosa Shibuda kutangaza nia, lakini bado najiuliza, 1)kwanini alitangaza nia kupitia jukwaa la ccm huku akisisitiza jk ampigie debe ilhali akitarajia udhamini wa cdm?. 2)Hata kama Bavicha wamemkosea, kwanini atishie kutangaza siri za chama?. Anavoonekana, nikama vile anasubiri spark ndogo tu ili atimize lengo lake. Cdm must handle him with care, togather with other "Vibudas"kosa la shibuda ni lipi..??? kutangaza nia...?! ndio mwataka afukuzwe uanachama ..?! je kuna mtu CDM wameshapanga aje kugombea..!?