Kwamba aliehoji uteuzi wa rais kuwa mgombea hakufukuzwa uanachama? Mbona ccm walifanaya the same?Huku nje wanasisitiza uhuru wa kutoa maoni wakati ndani ya chama ni madikteta mtu akitoa maoni mbadala anafukuzwa chama, tukiwapa nchi tutaweza kuwakosoa kweli nyie madikteta uchwara?
Kuna watu wanapenda sana vyeo. Huyu jamaa tangu apoteze nafasi yake amekuwa mwendawazimu!Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Tawi lake la Bonyokwa mkoani Dar es Salaam, kimemvua rasmi uanachama, John Mrema, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu, dharau kwa mamlaka halali za chama, na kukaidi misingi na maadili ya chama.
Kwa mujibu wa barua rasmi iliyoandikwa na kusainiwa Aprili 30, 2025 na Katibu wa Tawi, Solomini Kagaruki, ambayo Jambo TV tumepata kuiona, na ambayo ilitolewa na tawi hilo, Kamati Tendaji ya tawi hilo ilikutana Aprili 29, 2025 na kupitia tuhuma dhidi ya Mrema, kisha kufikia uamuzi wa pamoja wa kumvua uanachama wake kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006, toleo la 2019, ibara ya 5.4.3.
Miongoni mwa tuhuma zilizomkabili Mrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka za chama ambapo imeelezwa kuwa alisambaza barua ya wito ya kufika mbele ya kamati ya nidhamu kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuitikia kwa utaratibu wa chama, jambo lililotafsiriwa kuwa ni dharau kwa mamlaka husika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tuhuma nyingine ni kukaidi maadili na misingi ya chama, ikielezwa kuwa akiwa bado katika mchakato wa kujieleza, alifanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 22, 2025 na kutoa tuhuma hadharani dhidi ya chama chake, akibeza misimamo na programu za CHADEMA kinyume cha utaratibu wa ndani wa chama.
Barua hiyo imeeleza kuwa, kutokana na mienendo hiyo, Mrema amepoteza sifa za kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA kuanzia tarehe 30 Aprili, 2025. Hata hivyo, amepewa haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu endapo hataridhika na uamuzi huo.
View attachment 3320871
Source: Jambo TV
Kwahiyo unakubali madikteta wa chadema na majizi ya Ccm tofauti yenu hamna madaraka tu ila tabia zilezileKwamba aliehoji uteuzi wa rais kuwa mgombea hakufukuzwa uanachama? Mbona ccm walifanaya the same?
Hayo maamuzi ya mkutano mkuu ndo yeye hajakubaliana nae kwanini mnapinga maoni yake hadi kumfukuza chama huo si ni udiktetaHuwezi kumpa mtu nchi Bali una mpa ridhaa ya kuongoza. Halafu tofautisha mawazo mbadala na kwenda kinyume na maamuzi ya Mkutano Mkuu.
Kwa hiyo unakubali hata ccm hakuna usawa?Kwahiyo unakubali madikteta wa chadema na majizi ya Ccm tofauti yenu hamna madaraka tu ila tabia zilezile
Huyu dogo hakujua hata kupiga hesabu vizuri. Alitakiwa aondoke mapema. Sasa kukaa kaa kachelewa kwa sasa soko lake limeshuka ataenda kukaa tu na akina lucas mwashambwa ambao ni prof arse lickers.Sasa ajiunge na ccm anayoipigania , Sema sasa ukishatolewa Chadema na bei yako imeshuka
Kabisa. Yule mwana ccm aliyesema samia kavunja katiba kujiteua kuwa mgombea alipewa cheo gani?Hayo maamuzi ya mkutano mkuu ndo yeye hajakubaliana nae kwanini mnapinga maoni yake hadi kumfukuza chama huo si ni udikteta
Acha nyumbu wazikane wanyeweChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Tawi lake la Bonyokwa mkoani Dar es Salaam, kimemvua rasmi uanachama, John Mrema, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu, dharau kwa mamlaka halali za chama, na kukaidi misingi na maadili ya chama.
Kwa mujibu wa barua rasmi iliyoandikwa na kusainiwa Aprili 30, 2025 na Katibu wa Tawi, Solomini Kagaruki, ambayo Jambo TV tumepata kuiona, na ambayo ilitolewa na tawi hilo, Kamati Tendaji ya tawi hilo ilikutana Aprili 29, 2025 na kupitia tuhuma dhidi ya Mrema, kisha kufikia uamuzi wa pamoja wa kumvua uanachama wake kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006, toleo la 2019, ibara ya 5.4.3.
Miongoni mwa tuhuma zilizomkabili Mrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka za chama ambapo imeelezwa kuwa alisambaza barua ya wito ya kufika mbele ya kamati ya nidhamu kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuitikia kwa utaratibu wa chama, jambo lililotafsiriwa kuwa ni dharau kwa mamlaka husika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tuhuma nyingine ni kukaidi maadili na misingi ya chama, ikielezwa kuwa akiwa bado katika mchakato wa kujieleza, alifanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 22, 2025 na kutoa tuhuma hadharani dhidi ya chama chake, akibeza misimamo na programu za CHADEMA kinyume cha utaratibu wa ndani wa chama.
Barua hiyo imeeleza kuwa, kutokana na mienendo hiyo, Mrema amepoteza sifa za kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA kuanzia tarehe 30 Aprili, 2025. Hata hivyo, amepewa haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu endapo hataridhika na uamuzi huo.
View attachment 3320871
Source: Jambo TV
Mzee Malisa walimla kichwa na kila siku anapata vitisho vya kuuwawa. CCM wapuuzi sana.ndyo, yuko wapi mzee lymo aliyehoji upitishwaji haramu wa saa100 kuwa mgombea uraisi
Well done.mze wa kulilia ruzuku Akaungane na akina hanje na mwakagenda huko sisiemu chama chenye ruzuku kubwa tuone akifaidi ruzuku
Ameshaiva kisiasa sasa mpaka ndani ya chama anataka kufungua chama chake wacha akafanye manuver hukocHADEMA ASILIA hatukubali. hakyanani Patachimbika! Mrema kalelewa na Mhe. Mbowe tangu ujana wake anakitumikia chama hadi anazeekea kwenye chama?!
Subirini, JOhn Henche, John Mnyika na Lissu wameamua kuwaondoa kanda ya kaskazini.
CHAGADEMA IN FALL 2025Ni uamuzi sahihi, haiwezekani muwe na mtu wa dizaini hii kwenye chama alafu mnamvumilia, aende CCM au ACT Kwa amani ili akagombee kule vunjo
Chadema ipo na itazidi kuwepoCHAGADEMA IN FALL 2025
Kafutwa uanachama na kikao halali cha chama, tena cha tawi lake la mtaani...na bado ananafasi kukata rufaa vikao vya juu.Hiki ndio chama cha demokrasia?