900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 9,423
- 11,438
ndyo, yuko wapi mzee lymo aliyehoji upitishwaji haramu wa saa100 kuwa mgombea uraisiHiki ndio chama cha demokrasia?
ndyo, yuko wapi mzee lymo aliyehoji upitishwaji haramu wa saa100 kuwa mgombea uraisiHiki ndio chama cha demokrasia?
That's how conflicts are resolved...Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Tawi lake la Bonyokwa mkoani Dar es Salaam, kimemvua rasmi uanachama, John Mrema, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu, dharau kwa mamlaka halali za chama, na kukaidi misingi na maadili ya chama.
Kwa mujibu wa barua rasmi iliyoandikwa na kusainiwa Aprili 30, 2025 na Katibu wa Tawi, Solomini Kagaruki, ambayo Jambo TV tumepata kuiona, na ambayo ilitolewa na tawi hilo, Kamati Tendaji ya tawi hilo ilikutana Aprili 29, 2025 na kupitia tuhuma dhidi ya Mrema, kisha kufikia uamuzi wa pamoja wa kumvua uanachama wake kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006, toleo la 2019, ibara ya 5.4.3.
Miongoni mwa tuhuma zilizomkabili Mrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka za chama ambapo imeelezwa kuwa alisambaza barua ya wito ya kufika mbele ya kamati ya nidhamu kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuitikia kwa utaratibu wa chama, jambo lililotafsiriwa kuwa ni dharau kwa mamlaka husika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tuhuma nyingine ni kukaidi maadili na misingi ya chama, ikielezwa kuwa akiwa bado katika mchakato wa kujieleza, alifanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 22, 2025 na kutoa tuhuma hadharani dhidi ya chama chake, akibeza misimamo na programu za CHADEMA kinyume cha utaratibu wa ndani wa chama.
Barua hiyo imeeleza kuwa, kutokana na mienendo hiyo, Mrema amepoteza sifa za kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA kuanzia tarehe 30 Aprili, 2025. Hata hivyo, amepewa haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu endapo hataridhika na uamuzi huo.
View attachment 3320871
Source: Jambo TV
Umeuliza swali zuri sana...Hiki ndio chama cha demokrasia?
Kwa hiyo mnafata mfano wa mnyemkosoa kwa kufanya hayohayo, sasa si bora tubaki naye tundyo, yuko wapi mzee lymo aliyehoji upitishwaji haramu wa saa100 kuwa mgombea uraisi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Tawi lake la Bonyokwa mkoani Dar es Salaam, kimemvua rasmi uanachama, John Mrema, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu, dharau kwa mamlaka halali za chama, na kukaidi misingi na maadili ya chama.
Kwa mujibu wa barua rasmi iliyoandikwa na kusainiwa Aprili 30, 2025 na Katibu wa Tawi, Solomini Kagaruki, ambayo Jambo TV tumepata kuiona, na ambayo ilitolewa na tawi hilo, Kamati Tendaji ya tawi hilo ilikutana Aprili 29, 2025 na kupitia tuhuma dhidi ya Mrema, kisha kufikia uamuzi wa pamoja wa kumvua uanachama wake kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006, toleo la 2019, ibara ya 5.4.3.
Miongoni mwa tuhuma zilizomkabili Mrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka za chama ambapo imeelezwa kuwa alisambaza barua ya wito ya kufika mbele ya kamati ya nidhamu kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuitikia kwa utaratibu wa chama, jambo lililotafsiriwa kuwa ni dharau kwa mamlaka husika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tuhuma nyingine ni kukaidi maadili na misingi ya chama, ikielezwa kuwa akiwa bado katika mchakato wa kujieleza, alifanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 22, 2025 na kutoa tuhuma hadharani dhidi ya chama chake, akibeza misimamo na programu za CHADEMA kinyume cha utaratibu wa ndani wa chama.
Barua hiyo imeeleza kuwa, kutokana na mienendo hiyo, Mrema amepoteza sifa za kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA kuanzia tarehe 30 Aprili, 2025. Hata hivyo, amepewa haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu endapo hataridhika na uamuzi huo.
View attachment 3320871
Source: Jambo TV
This is rubbish.Huku nje wanasisitiza uhuru wa kutoa maoni wakati ndani ya chama ni madikteta mtu akitoa maoni mbadala anafukuzwa chama, tukiwapa nchi tutaweza kuwakosoa kweli nyie madikteta uchwara?
Tena iliyokomaa, angekuwa ccm halafu afanye kama alivyofanya angeshafia mzena chini ya usimamizi mkali.Hiki ndio chama cha demokrasia?
Tokea baada ya matokeo ya uchaguzi wa uongozi mpya ndani ya CDM ilikwisha onyesha kamanda John Mrema alikitegemea sana chama kuendesha maisha yake ya kila siku kutokana na cheo alichokuwa nacho pale makao makuu. Ukichunguza vyema malalamiko anayoyatoa kila uchwao kwenda kwa uongozi wa sasa wa CDM utatambua dhahiri ya kuwa yeye ni mtu ambaye amekosa fursa aliyokuwa akiitegemea mno kutengeneza fedha zake binafsi.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Tawi lake la Bonyokwa mkoani Dar es Salaam, kimemvua rasmi uanachama, John Mrema, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu, dharau kwa mamlaka halali za chama, na kukaidi misingi na maadili ya chama.
Kwa mujibu wa barua rasmi iliyoandikwa na kusainiwa Aprili 30, 2025 na Katibu wa Tawi, Solomini Kagaruki, ambayo Jambo TV tumepata kuiona, na ambayo ilitolewa na tawi hilo, Kamati Tendaji ya tawi hilo ilikutana Aprili 29, 2025 na kupitia tuhuma dhidi ya Mrema, kisha kufikia uamuzi wa pamoja wa kumvua uanachama wake kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006, toleo la 2019, ibara ya 5.4.3.
Miongoni mwa tuhuma zilizomkabili Mrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, ni pamoja na dharau dhidi ya mamlaka za chama ambapo imeelezwa kuwa alisambaza barua ya wito ya kufika mbele ya kamati ya nidhamu kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuitikia kwa utaratibu wa chama, jambo lililotafsiriwa kuwa ni dharau kwa mamlaka husika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tuhuma nyingine ni kukaidi maadili na misingi ya chama, ikielezwa kuwa akiwa bado katika mchakato wa kujieleza, alifanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 22, 2025 na kutoa tuhuma hadharani dhidi ya chama chake, akibeza misimamo na programu za CHADEMA kinyume cha utaratibu wa ndani wa chama.
Barua hiyo imeeleza kuwa, kutokana na mienendo hiyo, Mrema amepoteza sifa za kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA kuanzia tarehe 30 Aprili, 2025. Hata hivyo, amepewa haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu endapo hataridhika na uamuzi huo.
View attachment 3320871
Source: Jambo TV
Boya sana wewe, halafu mtafuteni kichaa wenu mmoja anajiita saigilomagema mumfundishe kujadiliana kwa hoja, mpumbavu sana yule trash!cHADEMA ASILIA hatukubali. hakyanani Patachimbika! Mrema kalelewa na Mhe. Mbowe tangu ujana wake anakitumikia chama hadi anazeekea kwenye chama?!
Subirini, JOhn Henche, John Mnyika na Lissu wameamua kuwaondoa kanda ya kaskazini.
reject mpokeeni kesho mei mosi mpeni na jimbo akate kiu yake ya ruzukuKwa hiyo mnafata mfano wa mnyemkosoa kwa kufanya hayohayo, sasa si bora tubaki naye tu
This is rubbish.
Alichokuwa anafanya Mrema ni attack kwa chama, hayakuwa maoni.
Kama ni maoni, alivyoandika barua, angetulia kusubiria maamuzi ya mamlaka za chama.
Unaita wanahabari kushambulia mamlaka za chama, halafu ichukuriwe ni maoni mbadala? Waliitwa kwenye kikao halali cha watia nia ili wakatoe hoja zao,wakagoma.
Huyu kiuhalisia alikwishajivua uwanachama, na kuamua kuwa adui wa CHADEMA.
Hongereni sana kamati tendaji ya tawi lake kuchukua hatua
saigilomagema ndo walawale akina tlaatlaah wanawadhalilisha sana wambuluBoya sana wewe, halafu mtafuteni kichaa wenu mmoja anajiita saigilomagema mumfundishe kujadiliana kwa hoja, mpumbavu sana yule trash!