johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,485
- 142,725
Mnyika Wachagga wa Kimara- na Kibamba walimkataa akamwomba Lowassa akampigie Kampeni
Huyu Mseminari aache unafiq
Huyu Mseminari aache unafiq
Mbona hilo linafahamika maana ulisusa kwa karibu miaka minne. Ila nakupongeza ulijitahidi kukaa kimya kuepusha mgogoro na baadae ikarudi. Zaidi ya hapo licha ya kutakiwa CCM ukabaki CDM.Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amesema hakuunga mkono Hayati Edward Lowassa kuwa mgombea wa urais kwenye chama hicho, bali alitaka akijiunga CHADEMA awe mwanachama wa kawaida.
View attachment 2903024
PeAsingekuwa lowassa wasingeifikia Ile peak...wamshukuru tu mzee wa watu
No! No! No!Asingekuwa lowassa wasingeifikia Ile peak...wamshukuru tu mzee wa watu
Kwa kigezo cha utafiti wa afya za wagombea vyama vyote vyenye ushawishi vingechana mikeka...Lowassa alizingua.
..Cdm hawakufanya utafiti wa kutosha kuhusu afya ya Lowassa, na kama anaweza kuhimili mikikimikiki ya kampeni.
..Lowassa alikuwa hawezi kukampeni.
..kura na hamasa kwa kampeni yake zilipungua kadiri muda ulivyokuwa unakwenda.
Ila kura alizopata za Urais ziliweka rekodi ambayo hamkuitegemea na bado mlivuna wabunge wengi mno na hata kuongoza halmashauri kadhaa nchini...Lowassa alizingua.
..Cdm hawakufanya utafiti wa kutosha kuhusu afya ya Lowassa, na kama anaweza kuhimili mikikimikiki ya kampeni.
..Lowassa alikuwa hawezi kukampeni.
..kura na hamasa kwa kampeni yake zilipungua kadiri muda ulivyokuwa unakwenda.
Bora yeye aliendelea kubaki huko Chadema
Binafsi nafsi ilinisuta
Mtu tuliyeitangazia dunia kwamba, ni fisadi la mafisadi na hastahili popote, aje kuwa mgombea wetu? Nilishindwa kujaribu kulamba matapishi
Lowassa aliletwa Chadema na Mbowe, iweje useme ni maamuzi ya watu wengi kwenye chama chako.?Kwanini nisionekane ? iko hivi , kwenye jambo la wengi huamui tu utakavyo wewe , bali wengi wakisema ndio huwezi kukataa , utachagua kuwaunga mkono au kunyamaza , mimi nilimpinga mno Lowassa , lakini wengi walipomkubali ndani ya chama chetu , nikaamua kuwaunga mkono kwa Maslahi ya chama , huo ndio ukomavu
Hakuwa na nguvu yakupambania kura zake maskini... hata huko CCM asingekuwepo wa kumkata Lowassa kama angekua ngangari vile.Lowassa angekuwa na nguvu zake kama wakati anajiuzulu uwaziri mkuu, uchaguzi wa 2015 pangechimbika!
Tatizo huna mb za kusikiliza video, umesoma kichwa cha habari ukachangia tuAsingekuwa lowassa wasingeifikia Ile peak...wamshukuru tu mzee wa watu
Nafikiri Richmond haikumwacha Lowasa salama, shida zote za koafya hienda chimbuko lake ni RichmondHakuwa na nguvu yakupambania kura zake maskini... hata huko CCM asingekuwepo wa kumkata Lowassa kama angekua ngangari vile.
Ni fisadiMnyika, tokea pale ilifahamika hukumkubali Lowassa, why?
No. It was a fatal mistake!Kumpokea Lowassa na kumpa Bendera aipeperushe ilikuwa ni Best Strategy.
Ila kura alizopata za Urais ziliweka rekodi ambayo hamkuitegemea na bado mlivuna wabunge wengi mno na hata kuongoza halmashauri kadhaa nchini.
Nyota ya Lowassa iliwanufaisha sana
Tindo zitto junior
Kikwete na Lowassa kuelekea 2005 walicheza rafu nyingi sana za hatari ambazo zimewagharimu/zitawagharimu. Kingunge kang'atwa na mbwa kama, Lowassa kateseka sana na zamu ya kikwete inakuja.Nafikiri Richmond haikumwacha Lowasa salama, shida zote za koafya hienda chimbuko lake ni Richmond
No. It was a fatal mistake!
1. Ilichafua taswira ya Chadema. Chama cha Upinzani kina Mgombea ana kashfa zaidi ya Mgombea wa Chama Tawala.
2. Lowasa alikosa sifa muhimu ya any genuine opposition candidate-MILITANT PERSON DHIDI YA DHULMA ZA CHAMA TAWALA. Hivi, kwenye mfumo ambao chama tawala ni wezi wa chaguzi, unawaambia wafuasi wako wakakae majumbani baada ya voting, halafu baada ya kuibiwa kura, huitishi public action. Hakuna wakati umma wa tanzania ulikua Umeiva kwa mabadiliko kama 2015. Mgombea wa upinzani, angekiwasha tu, nchi ingeitika, so CCM walihitaji Soft Inaction opposition candidate and yes, EL served the purpose.
3. Effect ya EL kurudi CCM, ili-demoralize wafuasi wa Upinzani hadi leo.
EL angeingia CDM na kuwa mfadhili, Silaa akasimama, nakuhakikishia JPM angekua Rais, lakini UKAWA wangejumuishwa kwenye Serikali.