Hawa kenge wa cdm ,wameiga slogan ya raila eti maisha magumu ,ni lini maisha yalishawahi kuwa mapesi?Kiongozi wa Chadema Benson Kigaila (sijui cheo chake) ameitangazia Dunia kupitia Wasafi FM radio kwamba maandamano ya Mwanza Yako pale pale siku ya kesho na viongozi wa kitaifa watashiriki.
"Maandamano Yako pale pale na viongozi wa kitaifa watashiriki then kesho yake wataelekea Monduli kumzika Lowassa",
Kigaila ameongeza, "madai ya maandamano ni kutaka Serikali iwapunguzie wananchi gharama za maisha na hili linamgusa kila mwananchi bila kujali itikadi na ndio maana Kuna baadhi ya viongozi hata wa CCM wanatuunga mkono. Pili ni kumtaka Rais Samia asitishe kusaini miswada mitatu ya sheria za uchaguzi kuwa sheria. Awasikilize wananchi. Kesho umati utazidi wa Dar es salaam'.
Credit: Wasafi Fm
Tulitegemea wangeomboleza kwa kuondoka kwa mzee wetu EDO ukizangatia ya kwamba yeye ndio alifanikiwa kuleta wabunge wengi kupitia cdm.Kwani nani alisema hayapo?🐼
Maombolezo ya Kitaifa yanahitimishwa leo pale Azania FrontTulitegemea wangeomboleza kwa kuondoka kwa mzee wetu EDO ukizangatia ya kwamba yeye ndio alifanikiwa kuleta wabunge wengi kupitia cdm.
Naombolezo mkuy ni hadi azikwe,acha kuwatetea hawa misukuke ya mzee MboweMaombolezo ya Kitaifa yanahitimishwa leo pale Azania Front
Mbona Queen Elizabeth hajazikwa na maombolezo yaliisha? 🐼Naombolezo mkuy ni hadi azikwe,acha kuwatetea hawa misukuke ya mzee Mbowe
Huyo kigaila kesho tunaanza nae au leo akalale ButimbaHawa kenge wa cdm ,wameiga slogan ya raila eti maisha magumu ,ni lini maisha yalishawahi kuwa mapesi?
Kuna mambwiga wa CCM wanasema tusiandamane hadi Mzee Lowasa azikwe.Kwani nani alisema hayapo?
Kenge wazazi wako waliokaliana uchi bila utaratibu hadi wakazaa pooza kama wewe.Hawa kenge wa cdm ,wameiga slogan ya raila eti maisha magumu ,ni lini maisha yalishawahi kuwa mapesi?
Mazishi ya Lowassa ni ya kifamilia maombolezo ya Kitaifa yanaisha leo!Kuna mambwiga wa CCM wanasema tusiandamane hadi Mzee Lowasa azikwe.