PreGE2025 John Mnyika: Salum Mwalimu na Wenzake wamefungua kesi dhidi ya CHADEMA wakidai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya CHADEMA

PreGE2025 John Mnyika: Salum Mwalimu na Wenzake wamefungua kesi dhidi ya CHADEMA wakidai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,653
Reaction score
59,077
"Rais Samia kupitia watu wake wa karibu na Afisa mmoja wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wamekwenda kuwa lubuni;
1. Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mstaafu)
2. Salum Mwalum (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mstaafu)
wamefungua kesi dhidi ya Chadema kwa kile walichodai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya Chadema.

Hoja hii si ya kweli ni hoja ya kisingizio tu, suala la msingi ni kitu walichokiomba Mahakama, kuwa Mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli zote za CHADEMA Nchi nzima mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi hiyo inakuja mahakamani tarehe 12 Mei 2025.

Nawaambia wanachadema wote, wapenda haki na demokrasia na wote wanaoiamini CHADEMA ndani ya nchi yetu, kama tulivyoungana pamoja kwenye kesi ya Tundu Antipace Lissu tuelekeze nguvu tarehe 12/05/2025 kwenye kesi hii". Amesema John Mnyika katibu Mkuu wa CHADEMA.
 
"Rais @SuluhuSamia kupitia watu wake wa karibu na Afisa mmoja wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wamekwenda kuwa lubuni;
1. Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mstaafu)
2. Salum Mwalum (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mstaafu)
wamefungua kesi dhidi ya Chadema kwa kile walichodai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya Chadema. Hoja hii si ya kweli ni hoja ya kisingizio tu, suala la msingi ni kitu walichokiomba Mahakama, kuwa Mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli zote za Chadema nchi nzima mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi hiyo inakuja mahakamani tarehe 12 Mei 2025. Nawaambia wanachadema wote, wapenda haki na demokrasia na wote wanaoiamini Chadema ndani ya nchi yetu, kama tulivyoungana pamoja kwenye kesi ya Mhe. @TunduALissu, tuelekeze nguvu tarehe 12/05/2025 kwenye kesi hii" @jjmnyika
Tulipokuwa tunasema kuwa chadema ya Mzee Mbowe ilikuwa ni SACCOS manyumba hawakuwa wanaelewa sasa acha muyaone wenye SACCOS wamegoma kunyanganywa SACCOS
 
"Rais @SuluhuSamia kupitia watu wake wa karibu na Afisa mmoja wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wamekwenda kuwa lubuni;
1. Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mstaafu)
2. Salum Mwalum (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mstaafu)
wamefungua kesi dhidi ya Chadema kwa kile walichodai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya Chadema. Hoja hii si ya kweli ni hoja ya kisingizio tu, suala la msingi ni kitu walichokiomba Mahakama, kuwa Mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli zote za Chadema nchi nzima mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi hiyo inakuja mahakamani tarehe 12 Mei 2025. Nawaambia wanachadema wote, wapenda haki na demokrasia na wote wanaoiamini Chadema ndani ya nchi yetu, kama tulivyoungana pamoja kwenye kesi ya Mhe. @TunduALissu, tuelekeze nguvu tarehe 12/05/2025 kwenye kesi hii" @jjmnyika
Mtaenda kufanya nini, mbn wapumbavu hivyo? Kesi inaendeshwa na mahakama nyie mtaenda kubadilisha uamuzi? Aliyewaambia nyie ni nyumbu apewe uprofesa
 
"Rais @SuluhuSamia kupitia watu wake wa karibu na Afisa mmoja wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wamekwenda kuwa lubuni;
1. Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mstaafu)
2. Salum Mwalum (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mstaafu)
wamefungua kesi dhidi ya Chadema kwa kile walichodai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya Chadema. Hoja hii si ya kweli ni hoja ya kisingizio tu, suala la msingi ni kitu walichokiomba Mahakama, kuwa Mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli zote za Chadema nchi nzima mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi hiyo inakuja mahakamani tarehe 12 Mei 2025. Nawaambia wanachadema wote, wapenda haki na demokrasia na wote wanaoiamini Chadema ndani ya nchi yetu, kama tulivyoungana pamoja kwenye kesi ya Mhe. @TunduALissu, tuelekeze nguvu tarehe 12/05/2025 kwenye kesi hii" @jjmnyika
mbona hiyo kesi ina zaidi ya miezi miwili mahakamani,
kulikoni leo ndio mnyika airipoti mtandaoni?

fukuto la moyoni na mafarakano ya kisaikolojia nafsini ni kitu mbaya sana aise, dah! :pulpTRAVOLTA:
 
Sasa Zanzibar waanzishe chama chao Cha siasa kwani lazima kuweka na chadema Zanzibar? Sheria inasemaje kuhusu vyama vya siasa je ni lazima wawe na wing Zanzibar? Kikubwa chadema kina wanachama Zanzibar hayo mambo mengine hayana nafasi
 
wanachama wasaliti wote fukuza waende huko ccm
kesi za mchongo hazina mashiko wala ukweli

swali jepesi je na wao huko zenj, walikua viongozi walikuwa kazi yao nini
 
Back
Top Bottom