Kama ahadi ya maji jimbo la ubungo alishindwa leo kibamba ndo ataweza? kamwe kura zetu hapati.
Mapunguani kazini maana yeye ndiye anayekusanya kodi na kutoa vipaumbele kweli kushabikia CCM lazima uwe punguani
Maji ni shida jimbo la ubungo (now kibamba) kwasababu serikali ya ccm kupitia watendaji wa serikali za mitaa kwa kushirikiana na watendaji wa dawasco walikuwa wanafanya hujuma za makusudi kunyima maji wananchi. Kwangu linapita bomba la mradi wa kijiji lakini hawa jamaa wanaamua kulifunga lile bomba ili watu wasipate maji. Wanafungua sehemu chache wanazojua wao ili wenye maboza wajaze magari yao wakauze kisha wanagawana pesa. Huo mchezo mchafu tulishausitukia na ndio maana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita tuliamua kuwapiga chni ssm. Mnyika will be there to stayWakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.
Pole sana Mnyika.
You are right. Kwanini wao ccm wasitekeleze hiyo ahadi kisha waje kutuambia wananchi kuwa ni wao ndio wametekeleza ahadi hiyo na si mnyika?. Hapo tungejua kuwa walikuwa na nia njema na sisi. Lakini kilichoendelea kinaonekana wazi kilikuwa ni hujuma kwa mnyika kwa kuwa ni mbunge wa chama pinzaniIna maana ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania haikuwahusu watu wa Ubungo?
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.
Pole sana Mnyika.
mkuu ukisema punguani inamaana wana akili ya kuvukia barabara tu?
mkuu ukisema punguani inamaana wana akili ya kuvukia barabara tu?