John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

Umempa pole Dr. Fenella? Mnyika kidedea upo hapo?!!!!!
 
Ndio tatizo la kupata F za hesabu zinafanyiwa standardization inakua B+

Tofauti ya kura zilizompa ushindi Mnyika na Fenela ni ngapi ???
 
Mh. Mnyika sio Kibamba bali ni symbol ya taifa.
Pia sio kuwa kashinda bali kasaidia kuwaadhibu waliovunja katiba ya nchi kwa kuvunja sehemu ya baraza la mawaziri!
 
Mnyika alipata ubungo kupitia wananchi wa ubungo ndio wengi walimpakura ila wananchi wa Mbezi walimnyima kura na alivyobugi amewakimbia wa ubungo kaenda Mbezi kibamba hakika kule watamnyoosha

Tatizo lenu sio wapiga kura wa Kibamba ila mnapenda sana kuwasemea watu wa Kibamba.

Tunaomba tena comment yako baada ya Ushindi wa Mnyika
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

Hao wakazi wa kweli wa Kibamba wamesema ukweli wao kupitia sanduku la kura. Unaweza kuufuta uzushi wako sasa because is no longer valid anymore!!
 
na ndo wanapotea hivo. hamuwasikii tena baada ya uchaguz ujao. yaan ni shida. inasikitisha kuwakosa lakin ndo hivo hakuna namna nyingine. hatujui tu wataibukia wap baada ya kuukosa ubunge

Mkuu embu njoo uccoment na leo
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
pitia buku saba pale ,mnamhukumu mnyika na kuchochea hisia chafu kwa wapiga kura wa kibamba bila aibu ni hatari sana ,mchango wa mnyika unafahamika kitaifa na watanzania wengi linapokuja suala la kurudi bungeni huna maamuzi nalo kama una chuki naye jaribu kumtafuta umweleze matatizo yako ,pia nikujulishe kuwa buku saba hupati
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
Vipi ramli yako chonganishi imefanikiwa?
 
Alitumwa na boss wa lumumba.
Aibu yao sasa.
Warioba kasaliti watanzania kwa ahadi ya Ubunge kwa mwanae , yapo wapi sasa.
Olesenda nae alikubali kutumika sijui yupo wapi sasa.
Mungu hadhihakiwi. Majibu hapa hapa Duniani
 
Back
Top Bottom