roby2006
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 421
- 113
Mnyika alituahidi maji mpaka Leo huku maji ni shida. Hana cha kutudanganya tena na ufisadi sio tena agenda ya ukawa ngoja wajaribu wenzie
pole sana kamanda hata kama humtaki ndio mbuge wako
Mnyika alituahidi maji mpaka Leo huku maji ni shida. Hana cha kutudanganya tena na ufisadi sio tena agenda ya ukawa ngoja wajaribu wenzie
Jembe limerudi tena bungeni hapo patamu
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.
Pole sana Mnyika.