DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Tulia bwamdogo ueleweshwe.Hahahahàaaaaa. .kichekesho ni kwamba..nyie magamba mnaochangia humu mmebaki wachache mno..kuna wakati unajibu mashambulizi 50..wewe peke yako au mnakuwa wawili..do you know the meaning of this sir????..you have been isolated! ..chama chenu kimekufa wananchi wameingiwa na nyongo..wanaoki support chama chenu ni wale wanao benefits moja kwa moja toka kwenye mfumo wenu au wajinga wasioelewa!
Nani asiyejua mkakati wa Cyber-War ulioratibiwa na 4U Movement wa kuagiza vinawao wote kila mmoja afungue account zaidi ya 20 na kuhakikisha kila ID inafanya mashambulizi zaidi ya 20 kwa siku..unajua maanayake? Mmegeuka chama cha mitandao ya kijamii...unajua inplication yake? Tatizo hao wapanga mikakati wamesahau kuwa tar 25 oct ni kichwa kimoja, kura moja