Ndunamputa
Senior Member
- Dec 31, 2012
- 100
- 16
Yaani maccm mnachekesha kweli, mnajitekenya na kucheka wenyewe.....
Nilicheka sana jana nilipoangalia ile picha Lowossa anamuombea kura Kafulila kamshika mkono.Hahaha...
Uchaguzi wa mwaka very interesting. Vijana wanaoendeshwa na wachuuzi tuliwaonya miaka mingi hawakusikia, sasa wakisoma maonyo tiliyowapa sijui wanajisikiaje.
Mkuu Mungi kamkana rais wa moyo wake Dr. Slaa. Ama kweli kuishi kwingi kuona mengi. Chadema imeikana ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2010 na kuitupa kwenye dust bin.
Waliokana kauli zao wanawashutumu waliosimamia misingi kuwa wamenunuliwa. Very interesting...
Kwenye ilani bahati nzuri imechukuliwa na Magufuli na anainadi vizuriHahaha...
Uchaguzi wa mwaka very interesting. Vijana wanaoendeshwa na wachuuzi tuliwaonya miaka mingi hawakusikia, sasa wakisoma maonyo tiliyowapa sijui wanajisikiaje.
Mkuu Mungi kamkana rais wa moyo wake Dr. Slaa. Ama kweli kuishi kwingi kuona mengi. Chadema imeikana ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2010 na kuitupa kwenye dust bin.
Waliokana kauli zao wanawashutumu waliosimamia misingi kuwa wamenunuliwa. Very interesting...
Haiwafanyi CCM kuwa bora maana tayari wanajulikana kuwa ni mafisadi kamili.Si chadema pekee...Upinzani wote mmeambiwa "Shut-Up!!" linapokuja suala la ufisadi...kwa kifupi, mmeambiwa wooote muweke chini silaa yenu pekee ambayo ingeweza kuangamiza chama tawala...na hilo ndo bao la mkono aliloliongelea ndugu Nape
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.
Pole sana Mnyika.
Kwenye ilani bahati nzuri imechukuliwa na Magufuli na anainadi vizuri
Kabla chadema haijaingiliwa na majangili...Kibwagizo chenu kilikuwa "Pipooooz...Pawaaaaa"
Baada ya majangili kushika uskani...sasa imekuwa "Popooooo....Bawaaaaaa"
Ccm ndiyo wanaongoza kwa kukemea ufisadi mfano kila aendapo magufuli anasema awanyoosha mafisadi kwa kuanzisha mahakama ya mafisadi.Kama ni hivyo unavyosema basi CCM hawatachaguliwa kamwe maana hawajawahi kemea ufisadi.
Ni aibu sana kwa watu waliotangzia umma kuwa wapinga ufisadi sasa ndiyo wanaongoza kwa ufisadi.Nilicheka sana jana nilipoangalia ile picha Lowossa anamuombea kura Kafulila kamshika mkono.
Ina maana ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania haikuwahusu watu wa Ubungo?
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.
Pole sana Mnyika.