Nguvu ya Ajabu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 546
- 451
Hivi Tanzania nzima kuna wabunge wangapi? Kila siku ni mnyika, Lema, Kubenea,
na ndo wanapotea hivo. hamuwasikii tena baada ya uchaguz ujao. yaan ni shida. inasikitisha kuwakosa lakin ndo hivo hakuna namna nyingine. hatujui tu wataibukia wap baada ya kuukosa ubunge