John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

Hivi Tanzania nzima kuna wabunge wangapi? Kila siku ni mnyika, Lema, Kubenea,

na ndo wanapotea hivo. hamuwasikii tena baada ya uchaguz ujao. yaan ni shida. inasikitisha kuwakosa lakin ndo hivo hakuna namna nyingine. hatujui tu wataibukia wap baada ya kuukosa ubunge
 
Penda kusikia usivyopenda kuvisikia

makamanda wenzangu lazma tuelezane ukweli hata kama n mchungu
Yann kutiana moyo wakati iko waz mnyika hatakiw kibamba?
Bora tuambizane ukweli ili tujue tunafanya nn

haa haa mkuu aliyekuthibitishia kwamba mnyika hatakiwi kibamba ni nani? hivi unapagawa na post uchwara hizi mkuu? yaani kibamba wamchague yule mama.... haahaa...watu wanajua kule na kipofu.
 
Oktoba mbali mkuu
wana kibamba tushaamua
Mnyika hatakiwi kabisa

Mm nashauri asitumie huto tu pesa twake atakatopewa kustaafu ubunge
maana atabaki masikin na jimbo asipate kabisa

haa haa wewe sema wewe umeamua. lini ulikutana na wanakibamba? acha uzushi weweee...
 
Mm pia iliniuma
lakin yeye mwenyew ndio katusalit makamanda wenzake
kwenda kuungana na fisad kama lowasa tuliemponda miaka yote nane

haa haa ww mpigie yule mama anayetoka kwenye kiwanda cha kuzalisha mafisadi. Maana kuna madisadi papa kama kina Chenge na wenzake wanagombea ubunge..
 
Nimepata taarifa kuwa yule mama kamwaga hela nyingi sana kwa wapiga kura wa Kibamba
Wapiga kura wa Kibamba kuleni pesa kura kwa Mnyika. Ni jembe msije kukosea. Sisi tunatamani aje agombee huku kwetu Monduli.
 
Maneno Yako Utayameza Siku 18 Tu Zijazo!!! Ww Mpigie Kampeni Huyo Mamako!!!
 
Mnyika kawaida yake kuwashinda kina mama rejea hawa Ng'umbi


Dar hapa majimbo ya kupoteza ukawa ni ukonga na kawe
 
Oktoba mbali mkuu
wana kibamba tushaamua
Mnyika hatakiwi kabisa

Mm nashauri asitumie huto tu pesa twake atakatopewa kustaafu ubunge
maana atabaki masikin na jimbo asipate kabisa

Sasa kama October mbali na wewe sio NEC, unasubiri nini kumtangaza huyo mpinzani wake unaempa ushindi wa mezani bila vigezo?
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.


Wewe utakuwa unaishi KUNDUZ sio hii Kibamba ya DSM Tanzania
 
Labda kama ni kibamba ya Rwanda, ila kama ni hii ya DAR Mnyika hata asipofanya kampeni tumeshampa kura za ushindi
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

come with facts, siyo unabwabwaja tuu, mnyika bado ni mbunge mtetezi, kwa hiyo anayo historia, Fenela ana strength gani.
huo ni ujinga wa siasa za maji ya chooni NULLBOOK
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

Mkuu njoo utetee upuuzi wako huku............
 
Back
Top Bottom