Nimepata taarifa kuwa yule mama kamwaga hela nyingi sana kwa wapiga kura wa Kibamba
Nimepata taarifa kuwa yule mama kamwaga hela nyingi sana kwa wapiga kura wa Kibamba
Serikali ya CCM? Kwani nani kakuambia itakuwepo? Sema chama tawala kitamkosa mbunge wa Kibamba kama Mnyika ataangukaDah Inaniuma sana kumkosa mbunge kama Mnyika kwenye bunge la 11
Nani atakuwa anaichangamsha serikali ya CCM kwa hoja mahususi?
Dah Inaniuma sana kumkosa mbunge kama Mnyika kwenye bunge la 11
Nani atakuwa anaichangamsha serikali ya CCM kwa hoja mahususi?
Wewe umekua NEC au Mnajimu? Kazi ya kumkataa au kumkubali mgombea yeyote itafanyika October 25, hapo ndio tutajua nani kapata na nani kapoteza jimbo.
Dah Inaniuma sana kumkosa mbunge kama Mnyika kwenye bunge la 11
Nani atakuwa anaichangamsha serikali ya CCM kwa hoja mahususi?
Nimepata taarifa kuwa yule mama kamwaga hela nyingi sana kwa wapiga kura wa Kibamba
yaani huko kimara ndo kwa. wazee, aisee huwaambii kitu kwa ukawa, mnyika hata asipofanya kampeni. atashinda ni kama mdee jimbo la kawe
Hizi habari ni za uongo sana. Sijui watu wanapata wapi fursa ya kujenga uongo na uusimamia
Penda kusikia usivyopenda kuvisikia
makamanda wenzangu lazma tuelezane ukweli hata kama n mchungu
Yann kutiana moyo wakati iko waz mnyika hatakiw kibamba?
Bora tuambizane ukweli ili tujue tunafanya nn