John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
 
Kibamba wane interest za maana sio hizo zenu za general general tu
 
Kweli vijana wameamua kubadilika hawataki kubuluzwa.
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
This is the positive effect of Dr. Slaa.
 
pole sana mtoa mada mnyika ndio chaguo letu wanakibamba ccm msipoteze muda kuja huku ni ngome ya ukawa
 
Siku hizi vijana wengi wamejitambua kweli.
 
Wananchi wapi unaowazungumzia ww? Au kibamba ipi hyo??
 
Patamu hapooo!! Ila kweli sio mnyika ninayemfahamu
 
Mnyika jembe na anashinda kabla ya kengele ya pili.Hakuna kurudi nyuma hadi ccm ife
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
Gamba @ work
 
Kama ahadi ya maji jimbo la ubungo alishindwa leo kibamba ndo ataweza? kamwe kura zetu hapati.

Ina maana ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania haikuwahusu watu wa Ubungo?
 
Back
Top Bottom