John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

Naona sasa waitwe wazee wa ubwabwa na sio wazee wa DSM. Angalia mujahidina watupu.

[h=6][/h]

Unanaona sasa! Ni vigumu mno kutofautisha Kanisa na Chadema..pamoja na Uchagga
 
Unanaona sasa! Ni vigumu mno kutofautisha Kanisa na Chadema..pamoja na Uchagga
Wachagga wa Vunjo waliomchagua Mrema ni chadema?

Wachagga wa Moshi vijijini waliomchagua Chami ni wa chadema?

Wachagga wa Rombo waliomchagua Mramba,na Kimaro ni wa chadema?Mwanri na wengine wengi tu ni wa chadema?

Umeoza kabisa ubongo wewe!
 
Ukifuatilia matatizo meengi ya nchi hii
utakuta tatizo la 'age gap' kati ya viongozi wanaotawala na wananchi..

zaidi ya nusu ya watanzania ni 'below 30 years old...inasemekana almost 60
au 75 percent ya watanzania umri ni below 35
na ukichukua below 40 unaweza kukuta ni almost 65-80 percent....
mwenye accurate data
tafadhali aweke hapa.......

sasa basi mimi kwa maoni yangu naona viongozi kama Zitto,Mnyika,January,Kafulila na wengineo vijana
angalau wana 'advantage' ya kuwa connected na masula hasa ambayo viongozi
kama Kikwete na wazee wenzake wengi hawaelewi kabisa...
kuna a 'A BIG DISCONNECTION' kati ya wananchi na wazee kwa hakika...

Mimi ningependa Zitto awe mwenyekiti CHADEMA....lakini
ameshaanza kuwa 'na wapinzani wengi' ndani ya CHADEMA itakuwa ngumu kwake kupata
Uenyekiti au 'legitimacy' inayohitajika pengine kwa sasa....

sasa nilipomuangalia John Mnyika jinsi alivyoendesha kampeni ya ubungo
bila 'kumjeruhi' Julius Mtatiro na jinsi 'anavyo perfom bungeni now'
pamoja na kutomkubali huko nyuma,ameni convince now kuwa 'he is a better leader'
kulinganisha na wengine ndani ya CHADEMA....

1.Sifa ya kwanza ni 'uniter'..ataweza kuunganisha CHADEMA na vyama vingine.


2.Sifa ya pili anapenda 'dialogue' kuliko 'maandamo'....


3.Sifa ya tatu ambayo mimi naona ni muhimu mno now ni age...
ata 'connect' na wananchi ambao wengi ni vijana
yuko engaging na watu....

4.hana 'political garbage' ya aina yeyote for now...haitaji kulipa fadhila kwa yeyote
yuko free kufanya maamuzi kwa jinsi anavyoona,ana uwezo wa kuwa 'ndependent'
kimawazo...

na sifa zingine nyingi kumlinganisha na wengine......

now its time,tukisubiri 'azeeke' atakuwa 'corrupt' na mazoea na culture za siasa za makundi

Chadema wafanye kama DEMOCRATS walivyofanya kwa OBAMA....

mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
2.hoja ya chama cha familia
...

na hoja zingine...nyiingi....Urais anaweza kugombea SLAA au yeyote but Mnyika awe Mwenyekiti....

kupitia hizo RED nishakufahamu BOSS anyway kwenye mafara wa mamba kenge pia wamo.... thanks for your concern
 
Wachagga wa Vunjo waliomchagua Mrema ni chadema?

Wachagga wa Moshi vijijini waliomchagua Chami ni wa chadema?

Wachagga wa Rombo waliomchagua Mramba,na Kimaro ni wa chadema?Mwanri na wengine wengi tu ni wa chadema?

Umeoza kabisa ubongo wewe!

Narudia tena uwezi kutofautisha Kanisa na Chadema pamoja na Wachagga!
 
Ahsante BAK!
Tuendelee kuhamasishana, tuzifikie zile siku tamu za uzalendo, ambapo watu wetu wataweza kutoa machozi ya uchungu na mapenzi juu ya ardhi yao!
Nirudi kwenye hoja ya The B, kaka suala ulilolilite mezani linahusu zaidi uongozi na mapana yake hasa katika chama cha upinzani tena katika siasa za afrika.
Kwanza kabla ya yote, kiugwana ni lazima turudishe heshima kwa Freeman Mbowe.
Kwa wanaoifahamu CHADEMA na mahali alipoitoa brother Mbowe (kwa kushirikiana na wengine), ni muhimu sana kumpa shukrani za heshima.
Nakubali katika mapungufu ya kibinaadamu ila sikubali kama itahalalisha kumshusha hadhi na kumkosea heshima hasa katika namna isiyozingatia haki!
Kuna jambo la msingi ambalo ni la kipaumbele zaidi ili CDM isonge,

Kuendelea kujikita katika kuaminisha wananchi kama ndio chama pekee mtetezi wa UMMA,
Hii ikiwa na malengo makuu ya kutwaa dola (ikiwezekana 2015), kama matokeo ya kutamalaki kwa imani hiyo miongoni mwa wananchi.

Pia kuna changamoto zaidi ambo kama chama kinazo!

Hivyo mjadala wa Mwenyekiti ajaye ni lazima uzingatie yote hayo, haitoshi tu kuishia kusema flani ni kijana mbichi na pia hana skendo....
Dhana ya uongozi ni pana sana ambapo hata sasa haijabainishwa sifa kamilifu za kiungozi, japo kuna zile zimeonekana kuleta matunda zaidi kwamba ni kuonyesha njia na uwezo wa kupeleka watu huko kwenye njia.
Bila kuweka maneno zaidi, nadhani itakuwa haki kwa wanachama husika kuwapima watendaji wao kwa matokeo ya utendaji wao kwa majukumu waliyowapa.
Suala la uenyekiti wa chama ni zito zaidi ya hisia na mapenzi binafsi ya mtu flani au jinsi tu tunavyomuona na kumkubali mtu flani kwa nje!
Namkubali sana Mnyika, ila nadhani nitamkubali sana yeyote atakayepitishwa na chama kwenye mchakato halali wenye kukidhi sifa za kidemokrasia.
 
Kuna watu wanajaribu kuchakachua sredi, lakini thinkers wanawapotezea mbaya. Safi sana!! nafatilia mjadala
 
Mimi ni mchgga na mimi si chadema,nimekuuliza maswali,yajibu acha kutumia tope.

Ha! Ha! Ha! Ha! Hayo maneno kamwambie mtoto mchanga!

Wewe siku ile Chadema wamejikusanya pale viwanja vya unga limited si ulikuwa unamwaga pumba zako humu JF..

Leo ndio Chadema wanaweka historia ya mapinduzi kama Libya..

Nikakuambia usiote ndoto za mchana, hata siku moja duniani hakuna chama cha siasa kinachoweza kufanya mapinduzi..

Mapinduzi yanafanywa na wananchi wenyewe wakiamua mifano tumeona Tunisia, Misri, Yemeni, Syria..

Chadema hawezi kufanya mapinduzi hawana ushawishi ni kikundi cha Wachagga tu..

Huwezi kuchukuwa dola na wabunge 23
 
Mnyika inspires me very much...Kijana anayejua kusikiliza na kuchukuliana na watu kwa upole na unyenyekevu bila kuwa mwoga ama mnyonge kwani hafanyi hivyo kwasababu ni opportunist ama hajui mambo bali ameamua kuwa na heshima. Si mwepesi wa hasira na pia anaongea baada ya kufikiri implication ya anachokiongoea. Hata mimi naona anafaa sana kuwa mwenyekiti ama katibu baada ya hawa waliopo kumaliza muda wao.
 
Its widely believed that Mbowe has already proved failure in his position as party's head which thing necessisates his replacement. His mechanisms appear to be entirely antiquated and so antedivulian that can't wait to be substituted by innovative ones. He should himself see the signs of time and volitionally judge to hand over the duties to a fresh blood in order to spell him.

Mkuu, it's really hard for me understand which criteria you're applying to disqualify the ability in leadeship of Hon. Mbowe as chairman of CHADEMA. It's hard to deny that only under his leadership CHADEMA have managed to secure many parliamentary seats to make it the leading opposition party in the Parliament. True, that under his leadership CHADEMA has become so popular all over the country to the extent of being in the mouth of almost every Tanzanian, members and non members. Hon. Mbowe has the needed qualities, he is not a nonentity. Let him finish up his tenure, and let democracy speak for itself.
 
Ha! Ha! Ha! Ha! Hayo maneno kamwambie mtoto mchanga!

Wewe siku ile Chadema wamejikusanya pale viwanja vya unga limited si ulikuwa unamwaga pumba zako humu JF..

Leo ndio Chadema wanaweka historia ya mapinduzi kama Libya..

Nikakuambia usiote ndoto za mchana, hata siku moja duniani hakuna chama cha siasa kinachoweza kufanya mapinduzi..

Mapinduzi yanafanywa na wananchi wenyewe wakiamua mifano tumeona Tunisia, Misri, Yemeni, Syria..

Chadema hawezi kufanya mapinduzi hawana ushawishi ni kikundi cha Wachagga tu..

Huwezi kuchukuwa dola na wabunge 23
Mimi siyo chadema

Back to the point,kwahiyo kumbe na wewe unaipenda sana chadema ndo maana unasema Mnyika awe chairman?

Contribute with a purpose and dont purposely contribute.
 
Ukifuatilia matatizo meengi ya nchi hii
utakuta tatizo la 'age gap' kati ya viongozi wanaotawala na wananchi..

zaidi ya nusu ya watanzania ni 'below 30 years old...inasemekana almost 60
au 75 percent ya watanzania umri ni below 35
na ukichukua below 40 unaweza kukuta ni almost 65-80 percent....
mwenye accurate data
tafadhali aweke hapa.......

sasa basi mimi kwa maoni yangu naona viongozi kama Zitto,Mnyika,January,Kafulila na wengineo vijana
angalau wana 'advantage' ya kuwa connected na masula hasa ambayo viongozi
kama Kikwete na wazee wenzake wengi hawaelewi kabisa...
kuna a 'A BIG DISCONNECTION' kati ya wananchi na wazee kwa hakika...

Mimi ningependa Zitto awe mwenyekiti CHADEMA....lakini
ameshaanza kuwa 'na wapinzani wengi' ndani ya CHADEMA itakuwa ngumu kwake kupata
Uenyekiti au 'legitimacy' inayohitajika pengine kwa sasa....

sasa nilipomuangalia John Mnyika jinsi alivyoendesha kampeni ya ubungo
bila 'kumjeruhi' Julius Mtatiro na jinsi 'anavyo perfom bungeni now'
pamoja na kutomkubali huko nyuma,ameni convince now kuwa 'he is a better leader'
kulinganisha na wengine ndani ya CHADEMA....

1.Sifa ya kwanza ni 'uniter'..ataweza kuunganisha CHADEMA na vyama vingine.


2.Sifa ya pili anapenda 'dialogue' kuliko 'maandamo'....


3.Sifa ya tatu ambayo mimi naona ni muhimu mno now ni age...
ata 'connect' na wananchi ambao wengi ni vijana
yuko engaging na watu....

4.hana 'political garbage' ya aina yeyote for now...haitaji kulipa fadhila kwa yeyote
yuko free kufanya maamuzi kwa jinsi anavyoona,ana uwezo wa kuwa 'ndependent'
kimawazo...

na sifa zingine nyingi kumlinganisha na wengine......

now its time,tukisubiri 'azeeke' atakuwa 'corrupt' na mazoea na culture za siasa za makundi

Chadema wafanye kama DEMOCRATS walivyofanya kwa OBAMA....

mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
2.hoja ya chama cha familia...

na hoja zingine...nyiingi....Urais anaweza kugombea SLAA au yeyote but Mnyika awe Mwenyekiti....

naunga mkono hoja na umelezea Vzuri sana Mnyika ni mbunge ambaye anajua kupangilia hoja na huwa hakurupuki na wala si mlopokaji sio siri ni Mmoja kati ya wabunge wachache ninao waheshmu. But suala la akizeeka atakuwa corrupt hilo siwez kukukatilia wala kukuunga mkono kwasababu siasa ya 3rd World countries sio siri haielewek ndugu yangu.
 
Mimi siyo chadema

Back to the point,kwahiyo kumbe na wewe unaipenda sana chadema ndo maana unasema Mnyika awe chairman?

Contribute with a purpose and dont purposely contribute.

Mimi ni Chadema..

Nampenda sana Mnyika tunataka tusafishe Uchagga ndani ya Chadema ndio maana nampenda Mnyika na Zitto
 
Mimi ni Chadema..

Nampenda sana Mnyika tunataka tusafishe Uchagga ndani ya Chadema ndio maana nampenda Mnyika na Zitto
Kasafishe masaburi kwanza.

Wabunge wa upinzani wanaoheshimiwa na ccm kihivyo mimi huwa na wasi wasi nao sana kwasababu ni ma opportunists.

Mimi ningekuwa mbunge halafu nikasapotiwa na watu kama nyie nitajiuliza whats wrong with me.
 
mnika ni obama wa tanzania. suala la uongozi chadema halina shida wameejipanga poa sana. hakuna gap km ilivyo dhahiri kwa sisieemu
 
Kasafishe masaburi kwanza.

Wabunge wa upinzani wanaoheshimiwa na ccm kihivyo mimi huwa na wasi wasi nao sana kwasababu ni ma opportunists.

Mimi ningekuwa mbunge halafu nikasapotiwa na watu kama nyie nitajiuliza whats wrong with me.

Nakumbuka maneno ya mwalimu wangu aliniambia ukiona mtu uliokuwa mnajadaliana nae anaanza kutoka matusi hovyo...

Ujue umembwaga kwa hoja..

Sasa mambo ya masaburi yametoka wapi tena mkuu?

Au ndio matunda ya makuzi yako kutoka kwa wazazi wako!
 
Ukiwaongelea Viongozi wa CHADEMA wote ni the best wanazidiana vitu vidogo vidogo sana thatz why we see everybody can be a party leader, kuanzia Dr. Slaa, Mbowe, Zitto, Mnyika nk, tofauti na CCM.

Ukiingia BAVICHA kuna vichwa vimetulia sana compared na magamba.
 
Back
Top Bottom