John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

kwa mtu anaye kufahamu wewe huwezi kuunga mkono mgombea wa ccm hata kama nyerere angerudi,ulishalishwa matango poli na slaa huelewi hata chembe lakini wakati ukifika utamkubari tu magufuli.

Kweli nyerere akirudi ntamkataa!! CCM hakuna mtu mwenye sifa bana wote wasanii na mafisadi wakubwa!
 
Huyu jamaa ni mnafiki sana kutwa ni kumsifia vasco da gama kuwa safari zake ndio zinaleta misaada Kumbe ni hasara kubwa

Nachojua huwa anampima Vasco Da Gama aone kama anachokifanya kiko poa, but nadhani Magufuli na JK ni vitu viwili tofauti kabisa!
 
Magamba wanajuana kwa vilemba. Wanasifiana wao kwa wao, gamba mi gamba tu. Muda wenu umeisha mkavuane magamba huko yakatoke na ngozi kabisa.
 
MAGUFULI AUTAMANI URAIS;magufuli aliyazungumza haya kwenye kikao cha wazee aliokutana nao katika wilaya ya chato baada ya mzee mmoja kumtaka magufuli agombee urais 2015 kwa vile vigezo anavyo.

Akijibu wito huo magufuli ambaye kwa sasa anaongoza kwa utendaji uliotukuka alisema endapo katiba mpya ijayo itakuja na sifa ambazo yeye atakidhi basi atagombea na endapo katiba itakuwa na vigezo ambavyo atakuwa hana basi hatagombea ila kama atakidhi vigezo basi atagombea nafasi hiyo ya juu kabisa katika taifa,
 
Aturudishie kwanza nyumba za serikali alizouziana na 'wakweli na wachapa-kazi' wenzake kwa bei ya jioni/

Hili la nyumba naona halina mashiko tena kwani ------ aliweka jamaa zake (Mramba,Chenge,Kawambwa,Chambo n.k) pale Ujenzi ili zirudi kama ziliuzwa kimakosa lakini wakakuta mambo yalibarikiwa na baraza la Mawaziri enzi hizo na yeye akawa mtekerezaji tu - kwa hili asihukumiwe!
 
Kweli nyerere akirudi ntamkataa!! CCM hakuna mtu mwenye sifa bana wote wasanii na mafisadi wakubwa!

na huyo mzee wako unayetaka awe rais kamwe hataupata taifa hili haliwezi kuongozwa na kibaraka wakati tunatafuta uhuru yeye yupo na wamision.
 
Aturudishie kwanza nyumba za serikali alizouziana na 'wakweli na wachapa-kazi' wenzake kwa bei ya jioni/

Hili kamanda hawataki kabisa kulisikia wapenzi wake.....yeye binafsi NHC Boko kajimilikishia nyumba moja anaenda kupumzika eti kila jumamosi tu!! si ufisadi tu!!
 
CCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.

Hapa naweza kubaliana na wewe, kama kuna watu walipitisha madudu yao hovyohovyo itakula kwao tena mapema tu kama ilivyokuwa kwa Chiruba!
 
hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji nimbovu jimbo lake tu limemshinda hakuna maendeleo hata maji ambayo yako hapa ziwani yamemshinda kupelekea wananchi leo anataka urais kwa kuwaita watu nakuwambia wampendekeze, shme on you dictator MAGUFULI.
 
Huyu jamaa wala siyo injinia ila ni mkemia phd yake kafanyia kwenye magamba ya korosho yanavyoweza kuzalisha Umeme ndio maana hata yeye ni gamba

Fluid inayopatikana kwenye magamba ya korosho inavyoweza kuzuia kutu

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Magufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..

Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...


Hamuwezi jembe EDDO

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
hongera watakatifu.
akili zilizoganda wapumbavu msiojua kesho yenu.
subirini,mtaisoma number msifikiri uwoga huu wa watanzania utadumu milele.

ameiba wake za watu,unaumia nini,amemuiba mama yako?
wewe ni wakili wake?stupid mind.
vinywa vyenu like public toilet,jifunzeni kuweka akiba ya maneno,kesho itawagharimu.

Kweli umeonesha udhaifu mkubwa sana, huyu jamaa hajamtaja mtu wewe unakurupuka kutukana, 100% disqualified to be first. Hivi ni kweli hawa ni watanzania ambao unatarajia kuwa first lady wao ndiyo unawatukana kiasi hiki, Ndiyo maana unamuacha SLAA tz unakwenda Japan kupanda Pikipiki na wazungu unazurura mtaani huna maana kabisa.
 
Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!

Magufuli siyo injinia, ni mwalimu. Alisoma BSc education na amefundisha Chemistry na hesabu katika shule za sekondari Mwanza. Baadaye akasoma MSc ya Chemistry kabla ya kugombea ubunge. Akiwa mbunge, akafanya PhD ya chemistry pale Mlimani.
 
hongera watakatifu.
akili zilizoganda wapumbavu msiojua kesho yenu.
subirini,mtaisoma number msifikiri uwoga huu wa watanzania utadumu milele.

ameiba wake za watu,unaumia nini,amemuiba mama yako?
wewe ni wakili wake?stupid mind.
vinywa vyenu like public toilet,jifunzeni kuweka akiba ya maneno,kesho itawagharimu.

hili limama vipi mtu mzima kumbe bure tu haya matusi yanamtoka hata hajielewi kwani matusi yatabadilisha uhalisia kuwa wewe ni mke wa mahimbo na slaa amekuiba.

Ni vema ukajitambua wewe ni mtu mtu mzima unavyotukana tena tusi lenyewe linakuhusu unamaanisha nini tunaomba mods watoe ruhusa tukutukane ili ujue matusi yalivyo kwa ukijiheshimu kama mwanamke wa kitanzania utatoboka.

Hayo matusi halafu unataka uwe mke wa rais siutakuwa unatemea mate wanawake wenzako na ule mpango wako wa kumuondoa halima kawe ili ugombee wewe umefikia wapi.
 
Kuna kagorofa ka Hotel kapo Mwenge anahusishwa husiswahusishwa nacho hembu tufuatilie kama ni kweli fedha atakuwa amepata wapi kwa biashara gani au mkopo wa toka wapi kama ni fedha safi hewala kama ni fedha za makandarasi feki na teni pacenti tuchukue hatua.
 
na huyo mzee wako unayetaka awe rais kamwe hataupata taifa hili haliwezi kuongozwa na kibaraka wakati tunatafuta uhuru yeye yupo na wamision.

Ishu ni udhaifu wa Magufuli na usanii wake pamoja na Ufisadi na kuropoka!!
 
Back
Top Bottom