John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Akiwa waziri tu aliuza nyumba za serikali. Tukimpa uraisi si atauza hadi nyumba zetu?!!!!

vipi aliyepata ugombea tu wa urais alianza kupora wake za watu vipi akiwa rais.
 
Huyu jamaa ni mnafiki sana kutwa ni kumsifia vasco da gama kuwa safari zake ndio zinaleta misaada Kumbe ni hasara kubwa
hahahahahhahahahahahahahah.....................lakini ana sifa za kugombea urais
 
yes the man anaweza na ataweza kutuvusha zaidi alipoachia jk yeye ataendelea zaidi.
 
Ccm IMo kazi kupata atakayesimama kugombea 2015.magufuli kweli anafanya kazi na hachoki kufuatilia mambo ni kama lowasa
 
Hivi magufuli amebaki na watoto wangapi? Maana kila msimu wa uchaguzi mkuu huwa anapoteza mtoto m1 sasa sijui kama atagombea uprezzo masharti yatakuwa watoto wangapi? im just tinkin.
 
Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!

nisadie mkuu watu wa fani gani ndio wanafaa kuwa rais?
 
wanaompinga magufuli ni wale wanazi wanaomhofia pia ni wachafu wanakashifa kibao wanajua atawaburuza yeye anasimamia haki hakuna longolongo wakuu.
 
Waziri wa ujenzi bwana John Pombe Magufuli kaamua kuaanika wazi kuwa sasa anautamani urais wa Tanzania.
Kasema hayo huku akitanabaisha kuwa iwapo atakidhi vigezo vya katiba mpya.
Source: Nipashe

Tumwombee uzima na afya njema ili aweze kutimiza ndoto yake. Lakini namshauri awe anakesha akimwomba Mungu, kwani Ikulu palipokuwa mahali patakatifu pamegeuzwa na kuwa pango la waharifu.
 
Huyu jamaa wala siyo injinia ila ni mkemia phd yake kafanyia kwenye magamba ya korosho yanavyoweza kuzalisha Umeme ndio maana hata yeye ni gamba
hahahahahahahahahahah............................ kwakweli hapa ni patamu sana..................kwani mwenye macho haambiwi tazama...........................magufuli ana support kubwa kwa jamii......hasa nawaotaka maendeleo tanzania........kama
balaa sana
 
Huyu nae vipi anafikiria urais ni kubomoa majumba n kuweka lami alishatuuzia nyumba zote za serikali inatosha asijekuuza nchi bure
 
Huyu hafai hata kwa bure, waulize wakaazi w kigamboni "kama huna nauri ogelea vuka", angekuwa enzi za mwalimu sawa lakini sio wa kizazi hiki cha dot com!
 
Huyu hafai hata kwa bure, waulize wakaazi w kigamboni "kama huna nauri ogelea vuka", angekuwa enzi za mwalimu sawa lakini sio wa kizazi hiki cha dot com!
wewe kwa mawazo yako nani anafaaa sasa????????????????????????????????????
 
Back
Top Bottom