John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Kama huyu Mbunge miaka 10 hana hata nyumba kwao, ataweza kufungua ofisi? Ni msanii na msaliti na aende zake hahitajiki hata kwao.

Duuu,hiyo ni habari mpya kabisa mkuu
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?

Zitto angemuuliza Mpendazoe nini kilimpata baada ya Kina Nape na Sitta kumtanguliza CCJ.............!!!
 
I can see TADEA na ACT wakianzisha umoja wao kwa ajili ya ku-undermine UKAWA.
 
Hivi naweza kuchukua kadi ya uanachama Leo ccm ,cuf au chadema kisha hapo hapo nikapewa na ukatibu mkuu? Je Kama mi ni mamlukii
 
Mbunge wa Maswa John Shibuda aliyekua CHADEMA amejiunga na Chama cha TADEA na kuwa katibu mkuu wa Chama hicho.

Chanzo: ITV Habari

Hongera zake. From CCM to.Chadema and now to Tadea. Mwisho ataanzisha chama chake-Shibuda- Maendeleo Tanzania (SMT)
 
mara ccm mara chadema mara tadea..
mjulisheni kuna chama kingine kinaitwa CHELSEA,uanachama ni nguvu tu ya kushangilia makombe..
THE BLUES FOREVER..
 
mara ccm mara chadema mara tadea..
mjulisheni kuna chama kingine kinaitwa CHELSEA,uanachama ni nguvu tu ya kushangilia makombe..
THE BLUES FOREVER..
Sikutaka kuchangia, lakini comment yako imenifanya nijikute nacheka pasipo kutarajia...
 
Umalaya wa siasa,anafuata ujira wa mwiha.
 
Back
Top Bottom