John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Du. Ni habari mbaya kwa ZITTO Kabwe maana wale wabunge 50 wanapungua tu ARfi kamtosa na Shibuda naye kamtosa labda makapi ya ccm anayasubiri.
 
pengine hao wanaohama vyama na kupewa uongozi ktk vyama wanavyokimbilia, walikuwa na mahusiano na vyama hivyo kwa muda mrefu tangu wakiwa ktk vyama vyao
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?

Tutajie wengine basi walioko kwenye orodha hiyo maana inaonekana unawafahamu. Au unasumbuliwa na kakiroba tu? kama siyo hivyo weka wengine coz kwa namna ulivyoobgea unaashiria list hiyo unaijua mmoja baada ya mwingne
 
Amekamilisha alichoagizwa kukifanya CDM sasa kwa kuwa anatafuta branding ya chama chochote ili agombee ubunge, kaona TADEA itamsimamisha kwa kuwa ana jina. Ila Maswa kumemkalia kushoto.
 
Shibuda ana akili nyingi kama za sungura,amegundua kuwa act na misingi yake ya ukabira na udini hapata mfaa na kupata nafasi ya kurudi bungeni,pia masharti ya act mojawapo kabla ya kujiunga act na kupewa uanachama ni lazima ujifunze kiha

Eebwana eehe... hayo mashudu sasa vp ndo siasa za mitaro unazo jifunza?
 
Shibuda kubaki na kugombea kupitia CDM ingekuwa ni habari kubwa,sawa na binadamu kumng'ata mbwa. Habari ya yeye(shibusa)kuhama rasmi CDM si ya mpya,kwani ni kiwiliwili tu kilibaki,bali akili yake ilishatangulia.
 
Huyu JOHN MAGALE SHIBUDA ni sawa na nyoka mwenye chongo na c makengeza
 
Hiki chama kwa kweli kimeniacha hoi jamani,,yani Shibuda kahamia siku hiyohiyo na kupewa uongozi siku hiyohiyo,,ina maana chama hakikuwa na katibu mkuu siku zote??? Na ina maana chama hakina utaratibu maalumu wa kupata viongozi? Yaani ina maana chama kimempachika tu mtu cheo?? Kwa kweli ni vichekesho
 
hivi kunachama kilikuw kinaitwa tadea kirefu chake ni nini?
 
Ni maajabu sana kwa haya yanayotekea kipindi hiki cha uchaguzi.
 
Back
Top Bottom