Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Mpendazoe kamanda we mbwigaKuna yule mwingine mpendazoe nae alikuwa anahangaika kama shibuda, sijui yuko wapi kwa sasa?
Mpendazoe kamanda we mbwigaKuna yule mwingine mpendazoe nae alikuwa anahangaika kama shibuda, sijui yuko wapi kwa sasa?
Kwa sasa atatulia, keshapata uongozi ndicho alichokuwa anakitafuta. Huoni mwenzie aya.to,.llah...komeni ZZK tuliii!Sijui kama atakuja kutulia huyu jamaa!
Ha ha ha haaa eti katibu mkuu kiongozi... Lol amekua ombeni sefue? Ayatoullah kaharibu sana watu
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?
Kamnda Mpendazoe yupo CHADEMA na yupo kwenye mchakato wa kutafuta ubunge jimbo la kishapu kupitia CHADEMA.Kuna yule mwingine mpendazoe nae alikuwa anahangaika kama shibuda, sijui yuko wapi kwa sasa?