John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Taarifa ya habari itv jioni hii imemuonyesha kiongozi wa TADEA akithibitisha kwa shibuda ktk chama chao na kupewa ukatibu wa chama!

Naona ndoto za zzk zinazidi kupotea kama vile ukungu(mist)
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?

Una uhakika au unahisi tuu???
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?

Shibuda ana akili nyingi kama za sungura,amegundua kuwa act na misingi yake ya ukabira na udini hapata mfaa na kupata nafasi ya kurudi bungeni,pia masharti ya act mojawapo kabla ya kujiunga act na kupewa uanachama ni lazima ujifunze kiha
 
Wana siasa wa tanzania wanashangaza sana,mbona kuna wakati shibuda alikana kuhusika na tadea kulikoni tena

Mkuu kawaida ya kiongozi msaliti lazima awe muongo na mnafiki
 
Kazi aliyo tumwa na ccm Chadema ilimahinda sasa ndio mqiaho wake kama Zzk. Mungu huwaumbua waovu aaubuhi kweupe

Naona ccm wameamua kumsusa kwa kushindwa kufanikisha malengo waliyokusudia
 
kwahiyo hawa TADEA hawakua na katibu mkuu?au cheo hiki kilikua pending kwa ajili ya huyu shibuda?ngoja tuone kama atatulia huko.

Nia siyo kukiimarisha chama,bali nia ni kupata line ya kurudia bungeni
 
Back
Top Bottom