Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Unaijua kigoma wewe au unasema tuu? Kwa mazoea
...mkuu siasa ya mwaka huu haiko kama zamani, mambo ya ngome au unakubalika wapi hayapo tena,kinachotawala akilini mwa watu ni mabadiliko ndo maana kila mgombea ana capitalize kwenye mlengo huo...