John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Mbunge wa Maswa John Shibuda aliyekua CHADEMA amejiunga na Chama cha TADEA na kuwa katibu mkuu wa Chama hicho.

Chanzo: ITV Habari

Siasa za Tanzania ni comedy tosha yaani unajiunga na chama na kupewa ukatibu mkuu hapo hapo,jamani hv vingine sio vyama .
 
Huyu shibuda kama atafanikiwa kutetea nafasi yake ya ubunge kupitia chama chake kipya,

Atakuwa mwanasiasa mashuhuri kuwahi kutokea nchini ni nadra sana kwa mfumo wa siasa za nchi yetu mwanasiasa kubadili vyama kila uchaguzi unapokalibia na kupata uungwaji mkono wa wananchi na kushinda.
Akifanikiwa hili atakuwa kavunja rekodi.
 
kweli CHADEMA, kila anayetoka anakwisha kisiasa, tumemuona Slaa, Zitto halafu Shibuda, Shibuda bunge ataliona kwenye TV,maisha yake ya kisiasa yako kwenye lango la kuzimu, hakuna ajuae hata chama aliko,kweli shibuda kwisha, Kwisha kabisa, kifo cha mende, chali.
 
Milango ipo wazi kwa anaye jiona ni bora kuliko cdm basi atupishe
 
kweli chadema noma,kila anayetoka anakwisha kisiasa..tumemuona slaa,zitto halafu shibuda,shibuda bunge ataliona kwenye TV,maisha yake ya kisiasa yako kwenye lango la kuzimu,hakuna ajuae hata chama aliko,kweli shibuda kwisha,Kwisha kabisa,kifo cha mende,chaliii

Mkuu umemsahau Arfi
 
Zitto hajafa kisiasa mkuu subir arud bungeni mtaona na alishashinda kule kigoma anasubir kuapishwaa
 
kweli CHADEMA, kila anayetoka anakwisha kisiasa, tumemuona Slaa, Zitto halafu Shibuda, Shibuda bunge ataliona kwenye TV,maisha yake ya kisiasa yako kwenye lango la kuzimu, hakuna ajuae hata chama aliko,kweli shibuda kwisha, Kwisha kabisa, kifo cha mende, chali.
Zitto is there to stay. acha kuropoka. Octoba mjengoni kama kawa. nani anajua hatima ya chadema/NCCR mageuzi kwenye mkoa wa kigoma na sehemu zinazoizunguka? again, acha kuropoka maana hujui kesho ikoje.
 
Back
Top Bottom