Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Duuh lengo la wanasiasa wote wa hii nchi ni kua Viongozi wa Chama fulani .. wote wasaka nyazfa ... sada sijui ni nani anakubali kuuongozwa .
hahaha!! kumbe wasumbufu wote ni waroho wa madaraka!Mara hii kashakuwa katibu mkuu........kwa hiyo safari hii atagombea zanzibar?
Huko angekuwa mwanachama wa kawaida tu, ngoja tuone kama ana tija au ni kubomoa zaidi TADEAAliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B
Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?
Mbona nacheki ITV sijaona hiyo habari!
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B
Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B
Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?