Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,020
Shibuda hawezi kuacha pengo kwa upinzani wa kweli,kwakuwa kuwepo kwake ni kama hakuwepo tu!
Hakuna hasara hapo
Kweli mkuu hilo liko wazi, alikuws kama boya.
Shibuda hawezi kuacha pengo kwa upinzani wa kweli,kwakuwa kuwepo kwake ni kama hakuwepo tu!
Hakuna hasara hapo
Mwenzake alipovuliwa uongozi CHADEMA alitimkia ACT na kuwa kiongozi mkuu wa chama hicho,Shibuda nae katimka CHADEMA kwenda TADEA na kuwa Katibu mkuu wa chama hicho utafikiri ni mapacha wa kiakili wenye shida na madaraka.
Akimaliza kuivuruga TADEA ataenda PPT-Maendeleo