John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Shibuda hawezi kuacha pengo kwa upinzani wa kweli,kwakuwa kuwepo kwake ni kama hakuwepo tu!
Hakuna hasara hapo
 
Hahahaa nadhani hiyo ni safari ya kurudi kundini..i.e. CCM. Huko ni njia tu. Long way the hard way back home...
 
Kule kwetu shibuda ni kitu kinachoua au kuangamiza, likewise huko tadea wataangamizwa
 
Ina maana chama hicho hakina wanachama wenye sifa hadi mtu anajiunga leo na kupata ukatibu mkuu leo?
 
Kuhamia tu na kupewa ukatibu mkuu.inamaana hao TADEA wamemfukuza Katibu mkuu aliyekuwepo kwa ajili ya shibuda? Nashindwa kumuelewa shibuda mwisho atarudi ccm.
 
Wakuu amejinadi kwa nini ameamua hivyo? Samahani sikuangalia ITV leo
 
Tunamkaribisha Lohassa Kwenye chama chetu Cha Act Wazalendo na mimi mwenyewe nitamwa hie cheo changu cha mkuu wa chama...Watabaki 48 .....
 
Back
Top Bottom