John Heche: CHADEMA ina wanachama milioni nane

Kuota ndoto ya kukuza Chama ni heri kuliko kuota kuteka na kununua wapinzani!
Wanafiki watupu,wao wenyewe si wanajiuza so acha wanunuliwe.
images (31).jpeg
images (24).jpeg
 
Mbunge wa zamani wa Chadema jimbo la Tarime amesema hivi sasa chama hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kampeni ya Chadema digito inayoendelea. Amesema hayo leo tarehe 4 Disemba 2021 kupitia kipindi cha Medani ya Siasa cha Star TV kinachoendeshwa na Odemba. Amesema kupitia kampeni hiyo chama hicho kimesajili wanachama milioni nane.

Aidha amesema kutokana na kuwa na wanachama hao milioni nane ambao wanachangia Shs. 500/= kwa mwezi kila mmoja, Chama kinapata Shs. Bilioni nne kwa mwezi.

Fedha hizo zitakiwezesha Chadema kuendesha shughuli za kiofisi na kujenga ofisi mpya katika majimbo mbalimbali.
Hongereni sana CHADEMA. Number lazima iongezeke zaidi kuwin more people's influence
 
Polepole anaulizwa mikutano ya siasa imezuiwa kwa sheria ipi anasema nchi haiongozwi kwa katiba na sheria tu bali pamoja na matamko, amri na utamaduni!
Nimemsikiliza kwa makini sana maana anatema madini tupu.

Mimi ni mpenzi wa The Big Agenda ila kwa ijumaa sijakitazama kwakuwa alikuwa polepole hakuna cha maana angekisema zaidi ya tantalila na mipasho mtu mwenye ndimi mbili(popo) haaminiki.
 
waoneshe mfano kwa kuweka wazi hesabu za makusanyo na matumizi ya chama ikiwezekana kila mwezi...

wanachama 8mil iwe ni halisi na wawe wanapiga kura....kama CDM ina wanachama hai 8mil..CCM itakuwa na wanachama wangapi? maana wanufaika wa CCM ni wengi kuliko tunavyofikiri kuanzia huko mashinani mpaka mikoani kwa viongozi na familia zao...kumbuka CCM imefika kila mahala kuanzia kigonsela, nanyamba mpaka kibirizi na mwandiga kwa ZZK...
Nani kamwambia ccm inachaguliwa ccm inatangazwa! nani mwenye akili timamu anachagua ccm
 
Mbunge wa zamani wa Chadema jimbo la Tarime amesema hivi sasa chama hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kampeni ya Chadema digito inayoendelea. Amesema hayo leo tarehe 4 Disemba 2021 kupitia kipindi cha Medani ya Siasa cha Star TV kinachoendeshwa na Odemba. Amesema kupitia kampeni hiyo chama hicho kimesajili wanachama milioni nane.

Aidha amesema kutokana na kuwa na wanachama hao milioni nane ambao wanachangia Shs. 500/= kwa mwezi kila mmoja, Chama kinapata Shs. Bilioni nne kwa mwezi.

Fedha hizo zitakiwezesha Chadema kuendesha shughuli za kiofisi na kujenga ofisi mpya katika majimbo mbalimbali.
Heche nae ni propagandist, Chadema wameamua kutumia uongo ili kujiweka kwenye mstari..
Uongo sana tu huo, aweke evidence hapa
 
Ndio chazo cha kuteka, kutesa nakuua..
Kuiba chaguzi na kijitatangaza bila kupigiwa kura.

CCM = Chama maiti
Mtekwe na nani nyie na nani awaibie kura chadema imekosa sera na mvuto kwa wananchi mmebakia kutafuta huruma za wananchi na mataifa ya mabeberu hizi za kutekwa, kuibiwa kura, kuuawa ni propaganda za chadema baada ya kushindwa uchaguzi
 
Billioni 4 kwa mwezi ni fedha nyingi sana wajenge ofisi ya makao makuu sasa kama kweli.


lakini je; wanachama watalipia hiyo ada ya uanachama?
 
Sema watanzania siasa kwao ni.kitu chanyongeza tu wengi wanapenda umbeya kuliko chochote angalia siku zicheze simba na yanga nchi inavyosimama kwa mjadara wa mabishano ila watu wakileta habari za katiba awakuelewi aliyeturoga halitupatia kweli kweli.
Unaweza kudhani watanzania wana matatizo, kumbe wewe ndio mwenye matatizo.

Kuwa brainwashed kubaya sana.

IMG_20211103_093523.jpg
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom