Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Kama ni kweli:
Duh ndiyo kilichompeleka huko? Alitumia fedha za kwake ama za chama? Muda ambao Bavicha inastahili kuimarishwa ndiyo watu wanaibuka kuangalia ubunge?
Zitto alipotangaza kugombea Urais kulikuwa na kampeni kule arumeru,ilikua imekaa ndivyo sivyo
Huyu anataka kugombea ubunge huku akijua wenzake wanaotaka kugombea jimbo hilo pia wako kwenye Ziara ambayo ni nyeti kabisa na katibu mkuu huko Morogoro.Je wenzake wakiacha ziara na wao wakaenda Tarime kutangaza nia itakuaje?Hii siyo hujuma dhidi ya M4C? Hii imekaa ndivyo sivyo.
Namshauri aimarishe BAVICHA kabla ya uchaguzi wa ndani ya chama mwakani.huwezi kugombea Ubunge 2015 na ukategemea kuwakomboa watanzania ambao asilimia kubwa ni vijana huku ukiiacha BAVICHA ikiwa haijasimama vizuri
BAVICHA ni chombo nyeti kabisa katika kusukuma harakati za mabadiliko.Tuimarishe BAVICHA kwa maslahi ya vijana wote kabla hatujajifikiria wenyewe na kuchochea mgawanyiko usio wa Lazima kwa muda huu
Mkuu heshima yako.
Hili naona kwa maoni yangu ingekaa vizuri zaidi ingekuwa ktk vikao vya ndani kuliko hapa jamvini.